Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Waelewe vipi bila kueleweshwa hili ni la kocha angalia upande wa kushoto sasa hivi unapwaya sababu diazi anacheza kama free player goli la jana kalitengeneza akiwa kulia kwenye matukio haikatazwi mchezaji kuhama ila huyu anafata mpira ulipo.
tue tuna angalia na majukum ya wacheza tusishangilie 1 ikatukosti 3 nakumbuka pia waligombania mpira na Nunezi na ni eneo la straika sasa hii ni sawa?

Mechi iliopita kipindi cha kwanza niliuliza hivi Diazi anacheza nafasi gani hamna alie jali bila shaka mna furahia anavyo chachafya mabeki bila utaratibu achoka haraka kwa kukimbia hovyo.

Mwalim anagawa majukum kwa wachezaji na wasimamizi wao wanaangalia anae toka jasho mpira hata ukiwa na kipaji lazima muwe na mbinu za pamoja mpate matokeo
 
Ukiona hivyo pengine Diaz ni wild card ya Klopp ana free pass timu ikiwa kwenye transition afuate mpira ulipo.
Nakumbuka hata Mane alikua anacheza zaidi nafasi zote pale mbele tukiwa kwenye kaunta.
Diaz ni LAW any day of the week.

Hilo la upande wa kulia kupwaya ni sababu kwanza upande haujawa na wenyewe sababu Klopp mara aweke Henderson, mara Elliott nk ambao pia ni attacking minded players na hua sio wepesi sana kurudi kusaidia kwa Trent. Changamoto nyingine inakuja kwa Salah anacheza zaidi kama faza hafanya tracking kama zamani.. Pia Fabinho is a shadow of himself kwa sasa badala ya kua msaada anakua mzigo mpaka Klopp anakosa options zaidi ya kumtia benchi.

Nwa muda utasema wapi Klopp anatupeleka.

YNWA
 
Wazee wa ku comments kwa English siku hizi kwisha habari yenu, maisha ni mzunguko ni kama gwaride.
 
NIlisema hili kumpa mshahara anaotaka Salah kuatavunja nguvu za wachezaji wengine na kuacha kubeba majukum ya wanao pwaya siku hiyo tunaweza zani wachezaji wameshuka viwango ikawa sivyo ikiwa yeye ndo msaada kwa Salah ana acha kusaidia ili abebe jukum lake ipasavyo hapa ndo tunaanza kuona mapungufu ya kina Faby.mishahara bikubwa sana inaondoa morali ya wachezaji wenye mishara midogo hivyo kuachia wanaolipwa zaidi matatizo yana azia hapo.

Kuna tuliona bola Sala aondoke kuliko kumpa anachotaka tukaonekana ni wapinga maendeleo amepewa alichotaka anaziada gani?
Boby ndo hana mana pale na amelijua hilo sasa hivi hatoki jasho akipangwa anavizia nafasi za kufunga anajiongezea acount ya magoli baasi.

Kila mchezaji anabeba jukumu lake sasa tumeona juzi Hendo akitukana hii inaashiria kushindwa.


Mnaosema huenda Klopp karusu Diazi awe free player huyu Simikasi ana achwaje au ndo mumbebeshe lawama?

Mane alikua anahama kwenye mazingila yanayo ruhusu hajawahi sahau majukum yake ndomana kukesekana kwake tunaanza kuhisi Roby amechoka hatujiulizi ushirikiona anao pata sasa ni sawa na wa mwanzo?
Mane anachekea tumboni huko aliko ha ha haaa

WALE WA JOTA WANYOOSHE VIDOLE JUUU NA SISI WA FIRMINHO TUSHUSHENI CHINI
 
Good story to read.Pain is beautiful thing!!
 
Sema linapokuja suala la champions league liverpool wanajua namna ya kucheza michuano ile
Hawana lolote hawa Broiler, wakikutana na marehemu hua wanajitutumua kwelikweli.
Hawa kuku walimfunga Bournemouth goli 9 wakaanza kututambia kua ndio wameanza ligi rasmi ila kilichofata ni [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Good story to read.Pain is beautiful thing!!
Kutesa kwa zamu.

We have seen its all and here we are with just hope n hope n hope... We have won its all kwa ngazi ya klabu main threat no team rebuilding strategy.. One mistake n here we are lost, found tunacheka kama jana tutanuna soon n life goes on man

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…