balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,706
- 15,438
Kwenye rating mbona kala 8/10?Bora umeona kaka matip alikua mzito sana leo na huyu henderson ampishe tu Elliot naona dg anacheza kama Bernardo Silva hivi na liverpool ukiangalia kwasasa tunaitaji mido anaecheza mpira wa dizain iyo so uyu mzee atupishe
ππππNa kweli ahame afurahie utamu wa Champions League.Ahame timu tu,Hamna namna[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Alifikiri atabeba, si amejifanya kumuondoa Jesus na Sterling alafu bado na Bernardo silva nahisi nae ataondoka sasa ataanza upya kujipanga.Pep kipara jana kimeongezeka centimita kadhaa...
YNWA
Usemacho ni sahihi na tusijipe kichwa kwa mechi moja ya kuwafunga. League ianze maswala ya kujitapa saivi siyataki kwa wana Liverpool wenzangu mda utasema tu, mi huwa sipendi kutabiri yajayo kiukweli.Wewe ni mweupe kabisa kwenye league zero brain [emoji23]...
Mwaka juzi tulianzia na kipigo hatari ,pigwa Tano na lecister city ,spurs ya mo ikatunyoosha ,Tena sio hizo 3 nyepesi ,Tena league ilikuwa imeshaanza ,UK nzima wakaandika "very difficult man city to win the title" mpaka Christmas Liverpool alikuwa top kwa uzoefu wa league mtu akiwa top of the table chrismass basi huyo ni bibgwa na city hatukuwahi kukaa pale juu ..unajua Nini kilitokea ? ...
Mwaka jana community shield tulikula kichapo Cha mbwa Koko kwa lecister city ,league ikianza spurs akatunyoosha Kama kawaida son ,muda huo Chelsea wanasambaza kipigo ,man UTD , Liverpool....mpaka kinaambangile wakampa ubingwa Chelsea kwa kuwa alikuwa hatari ,solid defence,na alikuwa hafungiki ,ni baada ya kudraw na Liverpool anfied wakati walikuwa pungufu ,badae unajua Nini kilitokea ?....
Ndio maana nikasema wewe ni mweupe kichwani kuhusu league,this is marathon....!
City ni habari nyingine likija swala la marathon ,ingekuaa epl ni kucheza game moja tu hapo sawa ,ila game 38 ? ...chukua kiti kaa chini na kahawa subili uone maajabu sio kwa city tu hata man UTD ,Chelsea ,spurs ...
Alimuiga Klopp kumwachie Mane asepe zake kumbe Klopp alishafanya intejelisia ya nguvu sana dhidi ya mfumo wake mpya na kwa wachezaji anaowahitaji.Alifikiri atabeba, si amejifanya kumuondoa Jesus na Sterling alafu bado na Bernardo silva nahisi nae ataondoka sasa ataanza upya kujipanga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lukaku imembidi arudi Intermilan maana Hali si nzuriAlimuiga Klopp kumwachie Mane asepe zake kumbe Klopp alishafanya intejelisia ya nguvu sana dhidi ya mfumo wake mpya na kwa wachezaji anaowahitaji.
Klopp awe na subira na Halland atakuja kua bora lakini sio spidi kali ki hivyo hii ni EPL ni balaaa ukitaka kuijua vyema muulize Lukaku.
YNWA
Nikukumbuka zile tambo za OllaChuga Oc humu atakavyosepa na ubingwa wa EPL msimu uliopita hua nasema ni sahihi kweli kua na maneno ya akiba...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lukaku imembidi arudi Intermilan maana Hali si nzuri