kwa Allison, VVD hatukusema hivo sababu uwezo wao ulikua unaonekana kabisa , wakati Barca wanavunja benk kwa suarez unaona kabisa bei sahihi, kwa Keita tulisema tumepigwa na kweli tumepigwa, hata Nunez pia tumepigwa kwa hiyo bei
😂😂😂😂😂Thiago kama MD fulani hiviiiiii.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thiago kama MD fulani hiviiiiii.....
YNWA
View attachment 2294861
Ben Davies huyooo Rangers yaaani FSG ni kiboko dogo alinunuliwa January 2020 kwa £500k na sasa anauzwa £4m... Huyu Julian amekuja kwa kasi kali sana...
Mpaka sasa ameuza kutoka kikosi cha kwanza wafuatao...
Mane – Bayern Munich – £35.1m
Takumi Minamino – Monaco – £15.5m
Neco Williams – Nottm. Forest – £17m
Ben Davies to Rangers- £4m.
Jumla mauzo mpaka leo £71.6m
Julian mpaka sasa amenunua wafuatao..
Darwin Nunez – Benfica – £85m
Fabio Carvalho – Fulham – £7.7m
Calvin Ramsay – Aberdeen – £6.5m
Jumla ya manunuzi ni £99.2m
Net spend msimu huu mpaka sasa ni
Manunuzi £99.2m
Mauzo £71.6m
Net spend =£27.6m
Sijatazama usajili wa na mauzo ya academy.
YNWA
Maajabu shabiki wa Liverpool anamkosoa mchezaj wake mpya ambaye ndio kwanza anaongizwa kwenye mfumo kumbuka Nunez anatoka ligi tofaut bado hajaingia kwenye mfumo
Subirini ligi zianze ndio muanze kukosoa binafs namuona akijichukulia utawala wake ndan ya Liverpool Mondela kuwa mpole huna uvumilivu huwa nakuona hata timu ikitanguliwa kufungwa utalaumu na kutoa maneno yote nakumbuka mech ya nusu fainal uefa kule Spain tulivyoyanguliwa gol 2 ulionesha udhaifu mkubwa Sana kana kwamba umeanza kuishabikia timu jana
N swala la muda tu Nunez anakuja kutawala soka la uingereza
Duuh bora Robertson kamuoa Rachel Roberts, maana dada aliacha kazi ya maana kipindi Robbo anahamia Uingereza kwa kumpa sapoti mpenzi wake ama kweli wametoka mbali sanaaaaa...Ilikuwa kwenye harusi ya robertson.
Origi ni bure kabisa sina hakika kama anaingia kwenye category ya kukuzwa na klabu huyu japo alisajiliwa akiwa na umri mdogo sana...Davies hajacheza kabisa lakini tumemuuza kwa hela ya kueleweka hapo wametisha Aisee vipi origi nae aliondoka bure? Tulichukua kama €12m hivi.
Maneno ya mashabiki: Ni mzuri akiwa hana mpira + good movementsNunez anatakiwa kuwa defender maana anajua kuzuia kuliko kufunga [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Nunez anavyozungumzwa vibaya isije kuwa tumepigwa kweli. Kuna hii kitu nimeikuta mahali nimexheka sana.Nunez Ni kamari , Ni wale wachezaji one season wonder , Ngumu kuwapa alichokuwa anawapa mane
Wachezaji wa one season wonder Kuna mawili akaendeleza Moto au akarud kwenye default mode
Ukizingatia na Bei yake aliyonunuliwa lazima apandwe presha.
Ili afanye vzr Klopp aanze Ligi na
Salah jota Diaz
Akipata matokeo amuweke Nunez , amuingize kwenye timu taratibu Kama alivyofanya kwa Fabinho ,
Iwapo atakuwa anaanza na Liverpool kukosa matokeo ,bas atakuwa anacheza kwa presha
Bobby has nothing left to offer us. Fenabace wanamtaka aende tu. Klopp naye some tyms anatusononesha na misimamo yake.
Diaz ni mzuri kwa kila kitu kuliko Mane. Mazoea tu ndio yanatutesa...Kuna mdau humu anasema "Diaz anaoffer vyote alivyokuwa anaoffer Mane."
Pathetic!!
A fully fit Bobby playing as a 10 na awe squad player sio tena tegemezi mbona fresh tu...Bobby has nothing left to offer us. Fenabace wanamtaka aende tu. Klopp naye some tyms anatusononesha na misimamo yake.
Kwamba hawataki usumbufuBreaking News:
BENFICA have changed their SIM card after 6 million missed calls from Liverpool over deal of
Darwin Nunez [emoji28][emoji28]