Ipo na bado inaendelea, we mwenyewe unatamani uwe LiverpoolHivi ile kauli mbiu yenu ya imagine being us imefia wapi?
Kuna Madera mengine ya UEFA mnaenda kuyachoma moto. Trust me.!Yale Madera yenu mlioshonesha kusherehekea ubingwa mmeshazichoma moto.?
Mpotezee huyo ana stress za litimu lakeKauli au mizaha ya kijinga kama hii unamdhalilishaji Mama yako Aliyekuzaa akakulea na kukuza. Sioni sababu za kuandika lugha chafu. Mpira ni burudani na utani lakini sio maneno machafu kama unayo andika hapa. Tatizo ni utoto, huna imani au hofu ya Mungu au ukosefu wa maadili?
Hata kama ni stress Wana lugha chafu sana hawa. Mbona Pain Killer Hana hizo?Mpotezee huyo ana stress za litimu lake















Hili ndo hadhi yako maswala ya Uefa tuachie sie watu wazimaSomaaa hiyo liverpool...iiiiiiii..piiiiiiii...eeeeee...looooooo...paaaaa paaaa kofiiii kofiii piga mtaaaaaa chiniiiiii ...nyanyuka wewe Liverpool somaaa hiyooooooooView attachment 2237231
Hiki kitimu bwana mpaka miaka 30 ijayo ndo watanyanyua tena ndoo ya epl.
Salah with his family View attachment 2237485





huyo mke wa salah ni fashionister? Nini hiko kavaa sasa? Au stress za kukosa ubingwa? Woiiiiiiihhuyo mke wa salah ni fashionister? Nini hiko kavaa sasa? Au stress za kukosa ubingwa? Woiiiiiiih



