Mkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.Pale nyuma ni
Trent Matip VVD Robertson
Pale kati
Henderson Fabinho Thiago
Pale mbele
Salah Mane Diaz
Dogo Konate ana rekodi nzuri ya kutopoteza gemu mpaka sasa lakini hana msaada wowote wa kupiga pasi ndefu au kutembea na mpira kwenda na kujaribu kuanzisha mashambulizi hua naona kama bado ana uogo pengine kutokana na umri ama hana accuracy ya long pass.. Kwa timu kama Real Madrid tunahitaji ballers kila eneo na Matip pale defence ndio best baller....
But kwa Klopp usishangae akakomaa na Konate maana ana offer aerial threat kalk kuliko Matip.
YNWA
Hii gemu inabidi kuanza na Diaz awavuruge haswa pale nyuma mpaka walegee wasipate nafasi ma beki wao kwenda mbele.Mkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.
Mkuu mi naona biashara iwe ASUBUHI,jion tufunge tu HESABUMkuu me naona haina haja ya kuanza na Diaz ,tuanze na Bobby kama ilivyo ada, Diaz awekwe dakika kama ya 60 akute zile beki milenda za Madrid zimeshatepeta iwe ni mabio tu mpaka wasalimu amri.
Hata siku moja Chelsea haiwezi kutoa support kwa Liverpool. Mfungweeeee!![emoji1628]View attachment 2231569
Kwahiyo wewe shabiki wa Man city utashabikia liverpool siku hiyo[emoji1628]View attachment 2231569
Poleni kwa kuwanyima vikombeHata siku moja Chelsea haiwezi kutoa support kwa Liverpool. Mfungweeeee!!
Sheikh Karim hawezi kuwaacha nyie
Matip huwa namkubali sana,japo haimaanishi kuwa kounate hajui..Pale nyuma ni
Trent Matip VVD Robertson
Pale kati
Henderson Fabinho Thiago
Pale mbele
Salah Mane Diaz
Dogo Konate ana rekodi nzuri ya kutopoteza gemu mpaka sasa lakini hana msaada wowote wa kupiga pasi ndefu au kutembea na mpira kwenda na kujaribu kuanzisha mashambulizi hua naona kama bado ana uogo pengine kutokana na umri ama hana accuracy ya long pass.. Kwa timu kama Real Madrid tunahitaji ballers kila eneo na Matip pale defence ndio best baller....
But kwa Klopp usishangae akakomaa na Konate maana ana offer aerial threat kalk kuliko Matip.
YNWA
Ondoa hao mbuzi wa darajani hapo, hawatupendi kinoma.[emoji1628]View attachment 2231569
I second that.Hii gemu inabidi kuanza na Diaz awavuruge haswa pale nyuma mpaka walegee wasipate nafasi ma beki wao kwenda mbele.
Diaz kashaeleweka sasa kwamba ni tishio uwepo wake uwanjani ni silaha kuu kwetu.
Kingine fitness ya Salah hatujajua mpaka hio tarehe 28 kama atakua fit asilimia 100 hivyo Diaz anahitajika mapema sana.
Bobby ataingia dakika ya 85 kuja kuharibu kabisa mipango ya 🤭 🤭 🤭 🤭 😂hapo tunaongoza 2 1.
YNWA
Jioni Madrid ndo wakuaga vyema bora kwenda nao sawa hafu ndo tuwawashie moto Diaz anzie bechi tukiwakontro akiwa nje ni rahisi kuwafunga akiingiaMkuu mi naona biashara iwe ASUBUHI,jion tufunge tu HESABU
Konate bado anapata elimu kazi ya ziada ya kwa mabeki Liverpool hua pia kuanzisha mashambulizi pale hali ina ruhusu sasa kwa hilo huyu dogo bado kabisa na ni bora awe alivyo mpaka pale atakapojiamini.Matip huwa namkubali sana,japo haimaanishi kuwa kounate hajui..
Ila kwa final hii matip na vvd wanatufaa zaidi yaani kazi kazi mkuu siku hiyo mpaka benzema arushe ngumi kudadeki 🤣🤣
Diaz kwa sasa ndio dangerous player pale mbele kwetu ni nightmare kwa mabeki maana hawajui nini atafanya ma muda gani yupo so unpredictable.... Huwezi kumuona Messi or Ronaldo at thier prime fainali wakianzia benchi hivyo huyu mwamba wa ma take on lazima aanze 1st 11 aidha afunge ama awatengenezee Mane na Salah wafunge...I second that.
Yaani aanze mwanzo akichafue akimbize watu mpaka wstoke ulimi nje halafu ndio aingie boby kumaliza kazi, maana huyu Diaz ipo siku atakuja kuua mtu kwa kumkimbiza..
Imeisha hiyo mkuu wangu.Konate bado anapata elimu kazi ya ziada ya kwa mabeki Liverpool hua pia kuanzisha mashambulizi pale hali ina ruhusu sasa kwa hilo huyu dogo bado kabisa na ni bora awe alivyo mpaka pale atakapojiamini.
Matip yeye ipo siku atapiga chenga mpaka kipa kwa kutembea na mpira maeneo ya hatari na hua kuna yafuatayo aidha atapata mpenyo wa pasi ama ataporwa mpira ama atapata faulo eneo ya hatari ndio maana Klopp amempa hicho kibali kucheza vile.
Kwa timu kama Real Madrid wenye MF iliyokamilika unahitaji ballers ku recycle mpira inapobidi. Hivyo kwa defence tuna Matip pale kati tuna Thiago na mbele ni Diaz.
YNWA
[emoji1628]View attachment 2231569