Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapa Liverpool wanajiona wapo final [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ....hata buyern baada ya draw alijiona yupo semi final lakin that is football [emoji28][emoji28]
Yaani wewe unatupigia ramli wakati una mechi pia??
Sisi ndo tunatinga fainali hivyo [emoji2],,wewe kashinde mechi zako.
 
Eti pamoja na uwendawazimu wao😂😂😂😂😂😂😂😂🙌
Mkuu unaupiga mwingi mno🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…