Kwanza huyu shabiki wa man city kaibukia wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee jana mpo nyumbani na mmechemka.
Kua na maneno ya akiba hakuna timu kwenye nusu fainali inapeleka timu kuchapwa hua ni kujituma kama kote.
Sitegemei mpate wepesi kama jana.
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee utaona hiyo siku, afu utanambiaAisee jana mpo nyumbani na mmechemka.
Kua na maneno ya akiba hakuna timu kwenye nusu fainali inapeleka timu kuchapwa hua ni kujituma kama kote.
Sitegemei mpate wepesi kama jana.
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tyuuu ndio nini?
Ushindi itakua powa sana kwanza kuna mpunga wa ushindi na mpunga wa kuingia nusu fanaili.Benifica hatuna presha nao hata tukitoa sare ni ushindi tu.
@Saint Anne cc hebu nijibie hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza huyu shabiki wa man city kaibukia wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unashabikia Manchester City?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee utaona hiyo siku, afu utanambia
Tunajuwa chelwowo fans mmeshahamia man shity baada ya litimu lenu kushindwa uwezoBora city wachukue ubingwa sio nyie wadhulumaji.
Nimemuuliza ngoja ajibu isije ikawa na mamluki wa OllaChuga Oc kamkodi atuvuruge๐๐๐๐๐๐๐.Kwanza huyu shabiki wa man city kaibukia wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena shabiki kindaki ndaki haswaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unashabikia Manchester City?
Maana shabiki wa Manchester City namjua Pain killer na mwingine hata jina sikumbuki.
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo mtu wenu mie namjua, humu nlikua napita sana,Nimemuuliza ngoja ajibu isije ikawa na mamluki wa OllaChuga Oc kamkodi atuvuruge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2183628
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee that the Citizens mood.
YNWA
2017/18 kulikuwa na mechi zaidi ya 15 lakini mlitofautiana point moja hadi mei na city kabeba kwa point 98 dhidi ya 97. Najua miaka haifanani ila tunajifunza kutokana na historiaAisee mbona unakata tamaa kama mashabiki wa Mwanitesa na Arse8. Position tuliyopo matumaini bado ni makubwa 7 games sio chache 21 points still to fight for. Tungefungwa jana hata mimi ningekubali ubingwa baasi
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Kwa hio ulitega uibuke baada ya mechi ya jana hahaha๐๐๐๐๐ wewe sio shabiki wa Ethad umevamia jukwaa si bure umetumwo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo mtu wenu mie namjua, humu nlikua napita sana,
Saint Anne cc nisaidie
Sasa ndio nini kumuacha Pain killer peke yake mpaka anazidiwa na baridi kali kwa kukosa sapoti ila hua akifika hapa jamvini anajisikia yupo nyumbani kabisa.Tena shabiki kindaki ndaki haswaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]