Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nakubaliana na wewe kooote ila Kwa pep… alikuja later

Kulikua na mwamba pale tusisahau naye mchango wake
 
Ili swala limekuja nitafakalisha kuwa ndo maana sisi hatusain big names sababu ya upuuzi na urafi wa FSG kuogopa kulipa mishahara, klopp nae kalihalalisha ili jambo sijui anajiona genius sana kubadilisha wachezaj wawe bora??
Lakini pia mtambue mishahara ikipishana saana kuna punguza upambanaji kua na kikosi jumuishi naona ni bora zaidi hao wa mishahara mikubwa tunawaona huko psg tunawaona Man u na Mancit

Mishahara ikipishana sanaa inaleta mpasuko zikitokea tofauti kidogo tu wale nguvu kazi wanawasusia mipira masupa star hili linahitaji umakini kulijua uwanjani.

Ikiwa ngumu aende tu mana hatuta baki nae melele
 
Mkuu FSG sio just the kawaida type of guys.
Hawa jamaa wako very economical kuliko maelekezo.
Kama aliodoka Coutinho.
Aliodoka Steve G.
Na wengine na bado wakabaki salama.
Sidhani kama watakumbali kulipa above "normal" means kwa Salah.

Kila mmoja anavutia kwake.

Kwa hili suala nipo neutral kabisa.

I support Salah.

I support FSG ndio Liverpool na Liverpool ni FSG.

Kwa bahati mbaya wakala wa Salah hana uzoefu wa hizi mambo. Anatafuta sympathy kumdiss Klopp na Klopp hana muda wa kutafuta headlines na haya mambo.

IIn the meantime tufarahie magoli ya Mo na muda wake klabuni hatuna uhakia atakuwepo mpaka lini.

IN KLOPP I TRUST.

YNWA
 
I will support what will be the best for all parties concerned. YNWA
 
 
I will support what will be the best for all parties concerned. YNWA
Kabisa ndugu.

Hatuna namna sie ni mashabiki aisee wenye maamuzi watakavyoamua ndio hivyo hivyo.

Wanajua Salah anapendwa tazama hata Anfield inavyolipuka na shangwe akifanya vyema. Lakini hapo hapo wanahitaji kununua wachezaji nadhani kama wawili Juni hii. Hivyo lazima hesabu zikae sawa kote kote.

Ushauri wa keyboard fans ni kwamba kwa vile Origi anaodoka June basi mshahara wake apewe Salah 🙌🙌just like that case closed hahaha. Origi analipwa 60k kwa wiki hivyo ingekua ni simple as that Salah definitely anakula 260k kwa wiki hahaha.

YNWA
 
Hivi Rashfod amechangia nini mpaka kupata mshahara kubwa au Lukshow.

Pale Man u waondoe wachezaji wote wa bei kubwa
Shamba la bibi na babu.
Sijui ile klabu wanaoedesha hua wanavuta cha wapi yaaani.

Rashford from hero to villain wamemwamulia mashabiki hawamwelewi actually ingekua powa dogo asepe zake Barcelona ama PSG pale hapamfai tangu apate apate ile MBE ni kama imeodoka na mpira wake haha.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…