Captain Marvelous JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 15,313 Reaction score 32,605 Feb 13, 2022 #113,041 Ziroseventytwo said: Kikosi hiki hapa. View attachment 2118489 Click to expand... Ila Klopp haya. No Jota π Our on form player Henderson in π² Japo tuna Inter Milan Jumatano ugenini lakini tulisema tuchukue one game at a time... Thiago awaiting San Siro haha he was signed for those kind of games maana Inter Milan are pressing monsters.. In Klopp i trust. YNWA
Ziroseventytwo said: Kikosi hiki hapa. View attachment 2118489 Click to expand... Ila Klopp haya. No Jota π Our on form player Henderson in π² Japo tuna Inter Milan Jumatano ugenini lakini tulisema tuchukue one game at a time... Thiago awaiting San Siro haha he was signed for those kind of games maana Inter Milan are pressing monsters.. In Klopp i trust. YNWA
Grau JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 4,798 Reaction score 4,682 Feb 13, 2022 #113,042 Unashabikia tim ambayo haina uzi, si uende kwenye uzi wa manshit huko?
Captain Marvelous JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 15,313 Reaction score 32,605 Feb 13, 2022 #113,043 Grau said: Hendo nae sijui wanemuweka wa nini humo Click to expand... Bora acheze hii ya leo aikose Inter Milan Jumatano ππππππππππ..... YNWA
Grau said: Hendo nae sijui wanemuweka wa nini humo Click to expand... Bora acheze hii ya leo aikose Inter Milan Jumatano ππππππππππ..... YNWA
Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,220 Reaction score 39,855 Feb 13, 2022 #113,044 Klopp aisee Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,220 Reaction score 39,855 Feb 13, 2022 #113,045 Saint Anne said: Au huoni kama umenisusa! Click to expand... Nsamehe Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Saint Anne said: Au huoni kama umenisusa! Click to expand... Nsamehe Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Manga ML JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 9,814 Reaction score 15,567 Feb 13, 2022 #113,046 Kapteeeeeen Alieona jitahda zake atupe somo jamani wengine tuna makengeza
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 24,095 Reaction score 23,714 Feb 13, 2022 #113,047 Hivi Fabinho na simtank aka awafu mwenye nguvu nani ana magoli mengi?
Manga ML JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 9,814 Reaction score 15,567 Feb 13, 2022 #113,048 Boby sio fowadi muangalie uchezaji wake hafu wafananishe Jota ni fowadi halisi Ziroseventytwo said: Jota alipaswa kuanza hivi game. Jamaa hi goal getter mzuri na ameonyesha hilo dhahiri. Ila klopp mahaba aliyonayo kwa bobby mmmhh. Click to expand...
Boby sio fowadi muangalie uchezaji wake hafu wafananishe Jota ni fowadi halisi Ziroseventytwo said: Jota alipaswa kuanza hivi game. Jamaa hi goal getter mzuri na ameonyesha hilo dhahiri. Ila klopp mahaba aliyonayo kwa bobby mmmhh. Click to expand...
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,163 Reaction score 17,067 Feb 13, 2022 #113,049 first goal.
mtongwe JF-Expert Member Joined Dec 16, 2016 Posts 1,659 Reaction score 4,484 Feb 13, 2022 #113,050 Ina maana Numbisa toka tulivyomtundika zile goli tano ndo ikawa tumemstaafisha kutuleta zile gif zake!!!??
Ina maana Numbisa toka tulivyomtundika zile goli tano ndo ikawa tumemstaafisha kutuleta zile gif zake!!!??
Grau JF-Expert Member Joined Mar 22, 2017 Posts 4,798 Reaction score 4,682 Feb 13, 2022 #113,051 Tumeondoka na point 3 aisee
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #113,052 Liverpoolπ€©π₯°
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #113,053 Ziroseventytwo said: first goal.View attachment 2118593 Click to expand... Sema huyu dogo anajua kupiga kona aiseeπ€π
Ziroseventytwo said: first goal.View attachment 2118593 Click to expand... Sema huyu dogo anajua kupiga kona aiseeπ€π
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #113,054 Captain Marvelous said: Bora acheze hii ya leo aikose Inter Milan Jumatano ππππππππππ..... YNWA Click to expand... Huyu hakutakiwa kuwekwa kabisa
Captain Marvelous said: Bora acheze hii ya leo aikose Inter Milan Jumatano ππππππππππ..... YNWA Click to expand... Huyu hakutakiwa kuwekwa kabisa
choza choza JF-Expert Member Joined Jan 17, 2019 Posts 2,289 Reaction score 4,087 Feb 13, 2022 #113,055 tumeshinda ila poor perfomance, klopp aangalie mifumo yake vizuri, Keita bado ni project iliyofeli
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #113,056 Pain killer said: Come on burnely ,fanyeni maajabu kama mliyofanya pale kwa united ... Click to expand... Umeona tumewatandika sasaππ Wafanye maajabu gani ?usilinganishe liver na vitu vya ajabu kama man u
Pain killer said: Come on burnely ,fanyeni maajabu kama mliyofanya pale kwa united ... Click to expand... Umeona tumewatandika sasaππ Wafanye maajabu gani ?usilinganishe liver na vitu vya ajabu kama man u
Ziroseventytwo Platinum Member Joined Mar 27, 2011 Posts 9,163 Reaction score 17,067 Feb 13, 2022 #113,057 choza choza said: tumeshinda ila poor perfomance, klopp aangalie mifumo yake vizuri, Keita bado ni project iliyofeli Click to expand... Hapana aisee. Kacheza vizuri. Angeanza na Jones au Thiago ange shine zaidi.
choza choza said: tumeshinda ila poor perfomance, klopp aangalie mifumo yake vizuri, Keita bado ni project iliyofeli Click to expand... Hapana aisee. Kacheza vizuri. Angeanza na Jones au Thiago ange shine zaidi.
Captain Marvelous JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 15,313 Reaction score 32,605 Feb 13, 2022 #113,058 Saint Anne said: Huyu hakutakiwa kuwekwa kabisa Click to expand... Hahaha una ugomvi na Klopp wee mtoto pendwa sijui alimpigia pande apata hii kazi maana sio kwa mahaba yale... Poor weather... Poor team selection.. Careless 3 points back at Royal Albert dock city hio ndio habari ya mjini. YNWA
Saint Anne said: Huyu hakutakiwa kuwekwa kabisa Click to expand... Hahaha una ugomvi na Klopp wee mtoto pendwa sijui alimpigia pande apata hii kazi maana sio kwa mahaba yale... Poor weather... Poor team selection.. Careless 3 points back at Royal Albert dock city hio ndio habari ya mjini. YNWA
Malafyale Platinum Member Joined Aug 11, 2008 Posts 13,897 Reaction score 11,292 Feb 13, 2022 #113,059 Very ugly WIN lkn W is W Sasa ni Norwich na kiporo cha Leeds. Klopp smells blood Tuzidi shikamana
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #113,060 Captain Marvelous said: Hahaha una ugomvi na Klopp wee mtoto pendwa sijui alimpigia pande apata hii kazi maana sio kwa mahaba yale... Poor weather... Poor team selection.. Careless 3 points back at Royal Albert dock city hio ndio habari ya mjini. YNWA Click to expand... Huyu jamaa alikoroga ashikilie hukohukoπ€£
Captain Marvelous said: Hahaha una ugomvi na Klopp wee mtoto pendwa sijui alimpigia pande apata hii kazi maana sio kwa mahaba yale... Poor weather... Poor team selection.. Careless 3 points back at Royal Albert dock city hio ndio habari ya mjini. YNWA Click to expand... Huyu jamaa alikoroga ashikilie hukohukoπ€£