Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.

Ana jambo lake mwaka huu Balon d'Or πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaha yani ni shida hapo unashindwa hata kuchagua nani aende nani abaki ila mimi naona bora Mo aende.

Ana jambo lake mwaka huu Balon d'Or πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahaha hii Ballon d'or hua changamoto sana usishangae atakaeshinda hata asifike semi faino kombe la Dunia.

Mo atakua kashafika 30 umri hivyo atulie tuliiiiiiii nwa ngoja tuone pazuri ni kwamba uhakika wa kua mmoja wao Qatar upo sasa...

YNWA
 
Lakini angalau tuna uhakika wa kumwona mmoja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…