Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tafadhali mkuu,,watoe hao nyumbu hapo kwenye hiyo list ya top 5πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Genius inategemea na mazingira... anaweza kua genius ila nyuma ya kipara.

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
Kipara ni perfectionist yaani ana demand nidhamu, uvumilivu uwanjani hana papara, ukitazama walivyopata ushindi kwa Arsenal na Chelsea utaona hiki kikosi kimetulia mno wao wanacheza mpira wao wanajua tu watapata nafasi wana uvumilivu mpaka pale hali ikirushu hawa panic wala kusahau majukumu yao. Kwa vile ana kikosi kimesheheni vipaji basi anajua vijana watapambana kumaliiza kazi.. Hii ndio tofauti ya Kipara na Klopp.

YNWA
 
Huyu jamaa sijui yuko wapi aiseee
Ngoja nimwite.


OllaChuga Oc umeona litakataka lako la kuitwa Chelsea?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe juzi umeenyeshwa na arse8 hii man shityee ambayo wamekamilika Kila idara ndo utaiweza kweli? Sisi Chelsea mabingwa tukiwa full mkoko Kuna takataka yeyote inaeza pata point mbelle yetu?!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…