Kwani nyie kumbikumbi mmetoka wapi?Mmerudi wote tuendelee kutema sumu?
Tar 2 tunakupasuaKwani nyie kumbikumbi mmetoka wapi?













































lakin lecister wakawakaba mbavu kweli kweli ....mlikuwa mnatapatapa kama wafia maji tu








....

Bado akamaliza na kichwa ngoma ikagonga post 


kuku ni kuku ....Jana mlikosa kitu kimoja tu " akili " vingine vyote mlikuwa navyo 



Wakanye hao watoto
Wakipigwa mabusha wasilielie hap
Nyie wapiga kelele malizeni mtuachie uzi.
apa njooni tuyajenge2 mtuambie mnavyojiskiaNyie wapiga kelele malizeni mtuachie uzi.





Nyie wanga hadi mkeshe!Tunakesha hapa