Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kaangalie mkuu
Usinichoshe.


Btw,magoli tuliyotakiwa kuwatandika wenzenu jana tutalitandika hilo chelsea lako,na tutaongea na mengine na hakuna chochote mtatufanya.
Sisi siyo man you.

Sisi ulishashindwa kutufunga hivyo tar 2 hesabu maumivu makali sana.
 
The next matches we are going to win non stop.
Goli moja tu mmekenua meno yote...inaonyesha jinsi gani liverpool tulivyo unbeaten hadi goli moja mnaruka juu kama mgambo.
Unalidiss goal moja ila wewe hukuweza kulipata.

Mkapewa na penalty ya mchogo ila wapi.
 
Msituchoshe
We are the best still.....

Wewe kenua tu meno wakati msalaba wa mabao yote tuliyotakiwa kufunga mtaubeba nyie.



Chelsea msinichoshe,mna maneno meeeengiiii.
Tulieni huko subirini kupoteana.
Mechi ya kwanza mlipewa penalty na tukapewa red ya kiboya.. this time upepo wa penalty upo Darajani.. na kwetu hatukosi kama nyie.. kaa kwa kutulia.
 
Nililala fresh tu na ndoto nzuri nikaota.

Chelsea timu lenu linadraw na kugongwa kila siku,na sisi tunakuja kuligonga tar 2.
We fala imekuwaje unalingana point na timu inayofungwa kila siku? Kama sio wenge
 
Mechi ya kwanza mlipewa penalty na tukapewa red ya kiboya.. this time upepo wa penalty upo Darajani.. na kwetu hatukosi kama nyie.. kaa kwa kutulia.
Ajiandae kisaikolojia.

Hiyo match yao tunapewa penalty tatu.

Na watakufa 3 bila.
 
Msituchoshe
We are the best still.....

Wewe kenua tu meno wakati msalaba wa mabao yote tuliyotakiwa kufunga mtaubeba nyie.



Chelsea msinichoshe,mna maneno meeeengiiii.
Tulieni huko subirini kupoteana.
Sisi shughuli yetu uwanjani inafahamika.

Msianze kulalamika
 
Jichagulieni mnataka kufa kifo cha aina gani?

Maana lazima tueaangushie kitu kizito kichwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom