Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haha Gomez amepona na leo umemuona pengine Klopp anaona hana full match fitness ndio maana anaanza benchi...

Konate na Matip wote ni mizigo tukipigwa kaunta hawana msaada ndio leo shoti za hatareee sana zimefika kwa Allison...

Hata goli ya la kwanza ni marking positions ya Milner, Morton, Konate na Matip walikutwa off guard na pasi ikamfikia Kane. Pale akiwepo Fabinho na VVD lile goli zipo asilimia kubwa tusingepigwa..

Hili bajeti finyu ya FSG ni janga aisee kwanza unajiuliza hata bila kua professional unaona kabisa hiki kikosi ni finyu na hakija balance angalau kwa Robertson na Tsimikas pale pana ahueni lakini kwingine kote sio unakata mti unapana timu kwani udhaifu ni mkubwa sanaa..

FSG hawamumunyi maneno kwenye haya mambo yaaani wao wanagharamia kuboresha kupanua Anfield, uwanja wa mazoezi AXA...

Liverpool wanajigharamia kununua wachezaji, kulipa mishahara nk kwa hapa FSG wanasema tumia unachazalisha bila wao kutoa ela yaaani Klopp ni genius maana kwa kikosi cha ku unga unga huyo hapa nafasi ya pili ndio tuopoooooooo ndio ujue kasi imefanyika ya hali ya jiu.

Mansour pale kwa Pep hua anapewa zana zote yaani ni aibu Manchester City kukosa.

Salute kwa vijana leo wametutedea hakii sana kwamba pamoja walipoteana kwa kukosa balance ya kikosi..

YNWA
 
Hahaha hili ndugu ndio plain naked truth...

Pep is his own worst nightmare yaaani overthinking ya huyu bwana sio ya kitoto.. Anatafutaga headlines wakati sio kabisaaaa badala aede kwenye basics anakwenda kwenye complication mwishowe UCl ataisoma sana namba zake wengine..

YNWA
 
Boss umesahau kilichotokea msimu uliopita kwa sababu squad depth??
Injuries, Covid, Afcon.....
Tusubiri, muda haujawahi kudanganya

Mkuu kwa uzoefu wangu raundi ya kwanza haitofautiani sana na raundi ya pili .


Raundi ya kwanza ukibaki top 4 Baada ya mechi 19. Kwa hizi timu kubwa lazima zitabaki top 4 tu.

Msimu uliopita Baada ya mechi 19 tulikuwa namba nne tulizidiwa zaidi ya 15 na man city kama sijakosea.

Hapo nilikuwa nauwakika na top 4 tu sio ubingwa.

Mkuu kikosi nakijua mkuu sisi wanzee wa kikosi kimoja.

Mkuu mpaka saizi ubingwa uko kwa kipara hilo nalitambua kabisa halina ubishi nieleweke hapo,

Ila sisi tuna nafasi ya kumchallange na sio aliyozidiwa point 15 , raundi kwanza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…