Duuuh ile tackle ya VVD dakika za mwisho inaweza kua tackle of the season.. Ile ilikua goal scoring opportunity lakini VVD with cool head kaizima very calmly...
YNWA
Bwana wee..Aisee ile sijawahi ona hesabu Kali kama zile
Shambulio la presha ,mpira kasi alafu mtu anadondoka uvunguni kama utani kumbe kweli!
Game ngumu leo😤
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] malizia tu nguvu za kiume [emoji23][emoji23]Wachezaji wa Westham wapimwe kama wanatumia dawa ya kuongeza nguvu haiwezekani[emoji36][emoji36]
BrO AchA tu sijui zile puto zina dawa Yzimetulevya😌We are poor today...
Klopp anawaambia wachezaji watulize mpira lakini duuh...
Kuna muda MF wanakua by standers kabisa..
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hali ni tete aisee [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kimya wazee
YNWA[emoji23]
Kaka kuku tiyari angalia usiunguzeNikimaliza kuchoma Kuku hapa nasogea karibu na TV nikishikilia Pepsi barini kuangalia Pira mateso watakalopiga Liverpool
Yaaani mpaka Ollachuga Oc Zuma ana tupia khaaaa...BrO AchA tu sijui zile puto zina dawa Yzimetulevya😌
Mkuu mpira umeanza kuangalia lini?
Mkuu timu yangu naijua vizuri sana,sijaanza kuangalia mpira leo mkuu.
Timu yangu kufungwa au kutokufanya vizuri na kuwa najua tatizo ni nini.
Mechi ya leo wachezaji niliokuwa nataka wawe Po wapo.
Leo ushindi ni uhakika asilimia 100.
Kikosi chetu kiko kamili.