King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
HT
Liverpool 2 - 0 BHA
⚽ Hendo 3'
🅰️ Salah
⚽ Mane 23'
🅰️ OX
Liverpool 2 - 0 BHA
⚽ Hendo 3'
🅰️ Salah
⚽ Mane 23'
🅰️ OX
Tumeanza kazi yetu ya kurudishiwa magoli
Aiseee.walikuwa ni burnley ...
wahurumie aisee
japo na wao walikuja wakajipigia, everton akajipigia, man city akajipigia
ilikuwa ni january mbaya aiseee
View attachment 1992264
Sifa ya mabeki wetu (Robbo & TAA) ni kushambulia na sio kulinda ndiyomana unaiona hiyo mianya.beki naona haipo compact kabisa, yani kuna mianya mianya naona kabisa madogo wakiitumia wanatuumiza,
Hahaha EPL bhana huwa haina matokeo unayatarajia...Tupige 5 na hawa asee
Huyu OX anajua jukumu aliloingiziwa Uwanjani kweli?
Hapo kati Mido waingereza watupu hakuna kitu Aisee