kote sawa mzee ila kuwaita walio hai maiti dah.! umevuka mipaka brother.Fabinho
Keita
Henderson
Milner
Jones
Elliot
Thiago
Chamberlain
Dah! Tuna maiti zinakula mishahara ya bure si mchezo Yani.
Hapo ndiyo tunakuwa brainwashed eti Liverpool ina kikosi kipana kumbe ni lundo la Watumishi hewa.
Yes hili lipo wazi TAA offensively very strong defensively very weak. High defensive line inamfichia madhaifu yake hasa upande wake akicheza MATIPUpo sahihi, dogo ni mzembe sana, hana tofauti sana na Steve G enzi zake kama ulikuwa ukimfuatilia vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo...hicho ndio kipimo chenu Cha Tim nzuri?Timu yenu tunakataa kuwa ni nzuri kwa sababu mlishindwa kutufunga tukiwa pungufu, Hapo tu...
Kama ingekuwa kinyume chake yaani nyie ndo muwe na red card mngeona tungewafanya nn?
Mngepata nyie red card ndio ungejua hujui.Kwahiyo...hicho ndio kipimo chenu Cha Tim nzuri?
Haki ya Mungu Chelsea mna matatizo...msim uliopita Leeds kamfunga city 2-1...Leeds akiwa na red card...na city ndio akawa bingwa......Kama nyinyi Ni Tim nzur mlishindwa nn kufanya Kama walichofanye Leeds kwa city .
King...sijawah kumuelewa kabisaaa....haon jins milner anapiga Kaz....Kwa hiyo kipimo cha mchezaji bora ni kupitia hizo timu ulizoainisha.
Aisee we jamaa duh.! Mchezaji anapimwa kwa mafanikio Milner kayabeba mane ambyo Bruno hajayabeba na huko kote alikiwasha sana kaangalie stats za CL za Milner akiwa kwetu.
Jamaa mara nyingi hua una crush sana hata umuhimu mdogo wa mchezaji hauuoni.
Milner bado mpira upo umemjaa sana licha ya umri wake anawapiga KO vijana wengi tu.
Dah.! jamaa unaangaliaga mpira ukiwa umekaa juu ya tv huku ukiangalia makochi nini?
Milner hana chochote anachoweza kuoffer hahahah dah.! Sera ya timu inambeba hahah sasa ulitakaje mkuu.
Au nawe ndio wale pep anabebwa na kina Messi..?
Huu uchambuzi wako kwa Milner kaurudie upya
Kwa hiyo kipimo cha mchezaji bora ni kupitia hizo timu ulizoainisha.
Aisee we jamaa duh.! Mchezaji anapimwa kwa mafanikio Milner kayabeba mane ambyo Bruno hajayabeba na huko kote alikiwasha sana kaangalie stats za CL za Milner akiwa kwetu.
Jamaa mara nyingi hua una crush sana hata umuhimu mdogo wa mchezaji hauuoni.
Milner bado mpira upo umemjaa sana licha ya umri wake anawapiga KO vijana wengi tu.
Dah.! jamaa unaangaliaga mpira ukiwa umekaa juu ya tv huku ukiangalia makochi nini?
Milner hana chochote anachoweza kuoffer hahahah dah.! Sera ya timu inambeba hahah sasa ulitakaje mkuu.
Au nawe ndio wale pep anabebwa na kina Messi..?
Huu uchambuzi wako kwa Milner kaurudie upya
Mnadaka mipira ulitaka mpewe nn Kama sio red card....na mpaka uadaka mpira si ulizidiwa!?Mngepata nyie red card ndio ungejua hujui.
Kwa hiyo kipimo cha mchezaji bora ni kupitia hizo timu ulizoainisha.
Aisee we jamaa duh.! Mchezaji anapimwa kwa mafanikio Milner kayabeba mane ambyo Bruno hajayabeba na huko kote alikiwasha sana kaangalie stats za CL za Milner akiwa kwetu.
Jamaa mara nyingi hua una crush sana hata umuhimu mdogo wa mchezaji hauuoni.
Milner bado mpira upo umemjaa sana licha ya umri wake anawapiga KO vijana wengi tu.
Dah.! jamaa unaangaliaga mpira ukiwa umekaa juu ya tv huku ukiangalia makochi nini?
Milner hana chochote anachoweza kuoffer hahahah dah.! Sera ya timu inambeba hahah sasa ulitakaje mkuu.
Au nawe ndio wale pep anabebwa na kina Messi..?
Huu uchambuzi wako kwa Milner kaurudie upya
Mimi sijalalamika kupewa red card. Au umeona kuna sehemu nimelalamikia hiyo red card.Mnadaka mipira ulitaka mpewe nn Kama sio red card....na mpaka uadaka mpira si ulizidiwa!?
Huna kawaidaa ya kumwin Liverpool we... Kwan Mara ngapi nakufunga ukiwa umetimiaaa.....tena ukiwa na wachezaji walio fire akina hazard ....achana na hao ulio nao akiw Werner na lukaku...wachezaji wa kuagizaa KikuuuMimi sijalalamika kupewa red card. Au umeona kuna sehemu nimelalamikia hiyo red card.
Hao hao wa kina Werner msimu uliopita round ya pili walikubonda. Au ulikuwa hujazaliwa?Huna kawaidaa ya kumwin Liverpool we... Kwan Mara ngapi nakufunga ukiwa umetimiaaa.....tena ukiwa na wachezaji walio fire akina hazard ....achana na hao ulio nao akiw Werner na lukaku...wachezaji wa kuagizaa Kikuuu
Sijakataa kunifungaa....Ila Chelsea kunifunga liver Ni Mara moja moja sanaaa..,..sio Kama mnavyo chukulia nyieeHao hao wa kina Werner msimu uliopita round ya pili walikubonda. Au ulikuwa hujazaliwa?
Hii Pumba pro maxLile Simtank la Chelsea haimalizi December wataanza kulikataa! Lilianza kwa kubahatisha mechi 2 wakaanza tafrani kila wakati Lukaku kumbe wamepigwa.
Sasa zile Stori za kubeba Makombe yote zimeisha