Mkuu ushoga wako ni pro maxtche tche tche tusikitike ..hapa nayiona Liverpool ikiteketea.
mfano huyu man city hawezi kukubali kupigwa Mara tatu ni lazima atawakazia ninyi, yani apigwa na spurs, apigwe na Chelsea (next week) halafu na nyie tena?? Hapana, so hapo kwako watford naona mutaambulia draw tu mengine tuyaache kama yalivyo mahesabu tayari hapo.
Rest In Piece Liverkuku.
CFC
hahahaKwamba Arsenal ya moto?
Hiki ndio kipimo chenu... Siyo mnacheza na vitimu uchwara halafu mnapiga kelele.[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]View attachment 1945623
Kwan lazima umjibu mkuu.?Mkuu ushoga wako ni pro max
You can’t stay out of LFC sick kabisa
ThanksKwan lazima umjibu mkuu.?
Vingine vinaboa ila tunapotezea.Bishana na mpenzi au mdau wa mpira sio shabiki.
Ungeamini Southampton atapata point etihad?
Vingine puuzia tu mkuu.
hao uchwara wanatoa ubingwa au ubingwa ndio kuwafunga wakubwa eh?Hiki ndio kipimo chenu... Siyo mnacheza na vitimu uchwara halafu mnapiga kelele.
potezea tu mkuu.Thanks
Analeta hallluffuuu hallufu hallluuufu humu
Muda ukifika utaelewa nilikuwa naongea nini.hao uchwara wanatoa ubingwa au ubingwa ndio kuwafunga wakubwa eh?
Fergie alihangaika kupata points kwa unaowaita uchwara timu kubwa ot alihakikisha points 3 au 1.
Ndiye kocha mwenye epl nyingi.
Wewe utaweza kumpiga spurs wewe? Yani unampiga Norwich halafu unajiona una timu..
Angalia huyo man Shityee kitu tunaenda mfanya hiyo next week ..ndio utaanza kujua kuwa tunakamilisha ratiba tu ubingwa ushatua London..
ENGLAND IS BLUE, NOT ONLY LONDON.
CFC
Wale mamluki wa spurs wapo wapi?tu nahitaji mujitokeze mutoe uchambuzi wa kwa nini mmepigwa kipigo heavy wakati mlitake advantage endapo spurs atashinda muendelee kuwa top of the table na mukasahau spurs anakutana na nani...siku ingine mkiwa mamluki muangalie na timu ya kuimamlukia ..ila timu yeyote inayokutana na Chelsea kwa sasa haina haja ya kuiombea njaa maana utakuja kupata matatizo bure tu.
CFC
tche tche tche tusikitike ..hapa nayiona Liverpool ikiteketea.
mfano huyu man city hawezi kukubali kupigwa Mara tatu ni lazima atawakazia ninyi, yani apigwa na spurs, apigwe na Chelsea (next week) halafu na nyie tena?? Hapana, so hapo kwako watford naona mutaambulia draw tu mengine tuyaache kama yalivyo mahesabu tayari hapo.
Rest In Piece Liverkuku.
CFC
We chalii wa Chelwowo kuanzia next week utapotea kwenye majukwaa ya watu humu
City hana pa kutokea labda alazimishe draw kitu ambacho akiwezekani mkuu.Tukimfunga Man City basi ile kauli ya Tuchel ya kutengeneza timu itakayoogopwa nitaanza kuielewa sasa.
Comeonchelsea[emoji170][emoji170]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani washabiki wa Chelwowowo wamesha jiaminiiishaaa subiri mtaona kitakacho wakutaCity hana pa kutokea labda alazimishe draw kitu ambacho akiwezekani mkuu.
Mpaka sasa tunaongoza 2 bila
CFC
kuna uwezekano upo gizani pia na haujajuaMuda ukifika utaelewa nilikuwa naongea nini.
Saiv bado upo gizani.
Wana vifua vigogo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani washabiki wa Chelwowowo wamesha jiaminiiishaaa subiri mtaona kitakacho wakuta
Mzee don't be too complacent. Japo uko na team nzuri lakini football ina mambo yake. Just hope for the best.Wewe utaweza kumpiga spurs wewe? Yani unampiga Norwich halafu unajiona una timu..
Angalia huyo man Shityee kitu tunaenda mfanya hiyo next week ..ndio utaanza kujua kuwa tunakamilisha ratiba tu ubingwa ushatua London..
ENGLAND IS BLUE, NOT ONLY LONDON.
CFC
Sisi kwa sasa ubora wetu haupimiki mkuu ..hatutabiriki kabisa.Mzee don't be too complacent. Japo uko na team nzuri lakini football ina mambo yake. Just hope for the best.
Sisi hatuna muda Mkuu ..muda tunawapa nyie, mchague kuwa upande wetu au kuendelea kuvumilia maumivu kutokana na mafanikio yetu.Wana vifua vigogo sana
Wape muda