Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

huu mstari ausome Captain Marvelous
wewe jamaa rangi nyeusi hujawahi kuitamka nyeupe

😂😂😂😂Genius Edwards.

Hivi shinda ni Edwards au ni Klopp kulinda status quo..

Kwa mfano la Tsimikas alivyopona sielewi kwa nini hakupewa muda uwanjani wa kutosha huku Robertson akiwa ameshuka mno especially assist wise either last or second last pass to score.

Klopp na ubora wake wote he is coward when its comes to disturbing the current affairs uwanjani. Ilimchukua muda mrefu kuwaamini Fabinho, Philips, Robertson nk hivyo huyu ni wa kumzoea kama alivyo ni ngumu kubadilika.

Aliwai ulizwa Pep msimu wa 2019 2020 kwa nini hampangi Mahrez mara kwa mara akasema simple ajitume vya kutosha akipata nafasi aitumie vyema lakini sio kwamba kwa vile kanunuliwa ghali basi ndio iwe kigezo cha kupangwa. Hivyo nyuma ya pazia kule mazoezini ndio kikosi kinapopatikana.

Muda utasema labda hili pigo la msimu uliopita Klopp atabadilika.

YNWA
 
Kai Kama Kai Nani asiyemjua Kai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mambwiga hapa yalisema tumepigwa, kumbe tumeyapiga sisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums299328074.jpg
 
Hivi Southgate ni nani aliyemroga? Inamana hajui kuwa Le Cepitano ni Mchezaji bora wa EPL? Sasa anapata wapi Ujasiri wa kutokumgaia hata dakika za kuokota mipira? Kwa hiyo kamchukua akawe Mtalii au?
Ameghaili kuangalia majina naona hata yule beki ghali sijamuona au anaumwa?
 
Ameghaili kuangalia majina naona hata yule beki ghali sijamuona au anaumwa?

Yule Nyumbu nadhani hayupo fiti ndiyomana hata Bench list haekwi, laki Le Capitano anajitahidi kuchomelea Bukta na kukaza Shin Guard akitamani agaiwe japo dakika 2 za majeruhi lakini Wapi!!! Aibu hii Captain wa Timu iliyobeba CL hana namba kwa Timu mbovu kama England.
Angekuwa ni Mfaransa au Mjerani huyu nadhani hata Uraia wamgemshauri ahamie Afrika huenda akapata kucheza Timu ya Taifa kama yule Mbrazili aliyewahi kuichezea Egypt.
 
Rumour Mill.

LIVERPOOL INTERESTED IN SASSUOLO’S BERARDI

Liverpool are reportedly interested in signing Sassuolo winger Domenico Berardi this summer, according to the Daily Express.

The 26-year-old has started both of Italy’s Euro 2020 fixtures so far this summer.

YNWA
 
Gossip Mill
Patson Daka has reportedly joined Leicester City in a £25m deal.

Italian journalist Fabrizio Romano claims a deal is done after an agreement was reached with RB Salzburg.

YNWA
 
Gossip mill

Kicker report Liverpool are eyeing Hoffenheim 21-year-old Christoph Baumgartner as a replacement for Gini Wijnaldum.

The report claims Baumgartner ‘lacks class and experience' but is a 'mischief maker'.


Not sure if that is good or not to be honest.

But the report - translated by Sport Witness - also states the midfielder is 'held in high esteem' by Liverpool.

YNWA
 
Haka katoto ka Denmark kanafaa sana ila kwa huyu ticha wetu kataozea benchi.

Damsdaard kwa hizi mechi 2 ameg'ara sana
 
Tujikumbushe ya King Salah.

On June 22, 2017, Liverpool confirmed the signing of Roma winger Mohamed Salah for a reported £36.5m fee that could rise to £43m.

Four years later, Salah is arguable as close to being a club legend as one could get in such a short time.



Here is a quick look at how his career has gone so far for us:

203 games

125 goals

43 assists

In his very first season, Salah broke almost every goalscoring record, winning the Golden Boot with 32 goals in the Premier League:

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom