Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Mbona huko France alifukuzwa huyo,msimu ujao mtamkataa huyo.hiyo ni Epl.sio ligi za hovyo kila msimu timu moja tu.ndio maana mechi ya Mwisho mlichezea na hata rate yenu ya ushindi ilikuwa inashuka jinsi ligi ilivyokuwa inaenda walishawajulia.

Msimu unaokuja timu yenu watu watakuwa wameshawajulia kama alivyowafanya Aston villa.
 
Mshahara wa £200 kwa new comer Liverpool lazima uwe extra special talents sio hivi hivi.

Salah na mafanikio yote wanajivuta kumpa zaidi ya £200 kwa wiki.

Kwa sasa wanapambana kumungeza mkataba VVD, Allison, VVD hivyo kwa MF mpya aje kupata £200k tena kipindi cha Corona hii sio kawa hawa ma Yankees.

Coutinho ni total failure ndio Laporta anataka ahesabu hasara zake amuache mazima wajipange kivingine.

Kwetu watuletea MF mwenye magoli nje ya 18 na mtalaam wa mipira ya adhabu na tutakua vizuri mno.

YNWA
 
Mbappe mmoja hutaamin
Mid ya hendo faby thiago dunia itasimama. Salah mbappe mane
Jota bobby... hot
Hendo Thiago Fabinho going forward itakua mtihani sana ndugu. Unless iwe Thiago acheze namba 8.

Muda utasema.

Vijana pia warejee Euro 2020 wakiwa wazima kuanza kwa pre season.

YNWA
 
Mpira hauko ivyo ndugu yangu, kwani Klopp alivyoboronga kabla ya kuja kukurupuka mwishoni Ina maana makocha walijua mbinu zake? Mbona Zizzuo kazingua Madirid huko ..achana na TT maana tayari ana kombe mkononi. Suala la kufungwa Lina sababu nyingi ikiwemo iyo uliyosema. Sababu nyingine ni usajili ndo maana Arteta ana/amefeli. Hivyo msijipe moto eti msimu ujao mtarudi kwenye peak kwa sababu ya game zenu hizi mbili tatu za mwisho. Bado tunaona Liverpool ina magepu mengi ya kukava tofauti na Chelsea ambayo muunganiko umeanza kuonekana na damu changa bado zina moto wa kutosha.
Ndo maana kama mtaendelea kutegemea huduma za mane, salah na firmino basi mtaangukia pua kama barca.
 
Nyie kuja kubeba uefa tena labda baadae tena miaka 30 ijayo.
Wakati huo sisi Chelsea tutakuwa tunakimbizana na Madirid kwa idadi.
#aminiKwamba.
#CFC
😂😂😂😂 Tatizo mimi huwa nashindwa kubishana na watu ambao hampo objective.

Maana mimi nitakuwa nakupa points na facts wewe unanitemea pumba.
 
Liverpool hatutishwi na usajiri.
Msimu uliopita kabla ya huu kuisha tumechukua kombe kwa kumsajiri adriani peke yake.na ubingwa tumechukua

Sisi tunaamini kwenye ubora wa wachezaji sio kusajiri tu,wewe unaamini ukisajiri lazima uchukue ubingwa?
Sasa msisajili bakini na kikosi hichi hichi muone kama mtafua dafu, hii ni EPL mkuu siyo legue one, seria A, maana hata nikikuambia utaje kikosi B huna, ameumia VVD tu hapo ..Allison karuhusu bao za kutosha.
#CFC
 
129 years of Liverpool FC 🔴

🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 League titles
🏆🏆🏆🏆🏆🏆 European Cups
🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 FA Cups
🏆🏆🏆 UEFA Cups
🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 League Cups
🏆🏆🏆🏆 UEFA Super Cups
🏆 FIFA Club World Cup

The most successful club in England 🙌 https://t.co/anRAVAbw9I
 
Alivyokuja klopp alimsifia kwamba anajiamini lakini Saizi amepoteza kujiamini Kabisa.
Mchezaji mwenye kipaji anahitaji kuaminiwa kupewa game time.
TAA
ROBBO
JONES
GOMEZ
PHILLIPS

Klopp amewaamini na wameonesha jambo.

Hata Tsimikas apewe muda wa kucheza tatizo la JK ni muoga wa rotation na nimegundua klopp anaogopa kikosi kipana kisije msumbua kwa namna anavyotafsiri yeye.
 
Ila England wana kikosi kipana na cha kutisha Sana wasipochukua hii Euro watakuwa wamerogwa , wachezaji kibao tena wadogo
Sio kipana kaka wala hakitishi ni maarufu tu hapo bro.

Embu pima na ujerumani spain netherland italy france n.k

Mf. Tupime france na england mchezaji mmoja mmoja timu gani itaingiza players wengi kwa timu ya mwenzie anzia goalkeeping mpka striking. Fuata Spain Italy Germany Netherland.
Hawa ENGLAND ni umaarufu kutokana na ligi yao kutazamwa sana kwa hiyo unakuta tunawajua wachezaji wao 26 mpaka wale reserve ila sio wana maajabu sana japo kuna wenye wapo vizuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…