Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Ukitazama jinsi tulivyofanya Vizuri kwenye hizo games hutoona sifa akipewa Mchezaji yoyote kuwa ndiyo chachu ya ushindi.

But ingelikuwa ndiyo Captain alitoka injury akacheza hizo mechi zote na tukapata matokeo hayo basi ungeona stats za kila rangi kuwa tumeshinda kwasababu ya Captain na bila ya Captain tusingeshinda, unhesikia tu "SKIPPER" aibeba Timu.

Lakini Mungu ni Fundi ameamua Skipper Timu ikiwa nafasi ya 10 hatimae imemaliza ya 3 bila ya Skipper.
 
Come on you REDS

boss tuzid kupeana updates za usajili kuanzia tetesi mpaka na umbeya mwingine mwingine wa sajili.
 
Diogo Jota on top 4:

“Although it feels nice after what has happened this season, being 3rd place is nothing to celebrate in my opinion. We are Liverpool - we go for titles!”
Awesome!

Brilliant mentality from Jota....love that!
 
Confirmed. Jurgen freaking Klopp is a miracle worker.

In arguably our worst season of recent years, we have not only finished 3rd but 5 only points behind the "best" Man United team since Fergie's exit.

Tell you what? Enter season 2021/22 with VVD back in the fold, the trophy swoop (EPL, UCL, USC & FCWC) at Anfield will become the order of the day again!
 
In your Dreams
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…