Nyie kuku mmeamkaje? Bado munalala tu au hamjui kesho tunaenda msulubisha Basha wenu madirid maana kwa kipigo Cha fainal ya 2018 na juzi robo fainal, basi sisi Kama Chelsea tumeamua kwa dhati kabisa kwenda kutowa kipigo kitakatifu hapo Spain ili kumaliza kabisa mzizi wa fitina maana nyie kuku mmekuwa wateja wazuri wa zidane.
Ni Bora muamini kwamba Chelsea atashinda kuliko kuweka matumaini kwa madirid halafu apigwe.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Mkuu Ile ni mind game tu ..kesho ndo utajua hujui maana hata Madirid wanajiona wanajua kumbe hawajui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Brighton na west brom tu mmewashindwa hao Madrid mnawafungaje sasa
Wanaume ni waliochukuwa Champions League wewe hutambuliki ulaya eti unajilinganisha na Bayern, Madrid kwa lipi sasa
CL amechukua hadi astonvilla ila angalia alipo ,acha kuishi kihistoria kwenye maisha ya sasa ...
Liverpool ya sasa haina tofauti na singida united ,kwasababu hata simba anaweza kumpiga goli za kutosha hapo hapo an field
Super league ndio mfano Wa wanaume balani ulaya ..Wakitajwa wanaume wa ulaya wewe haupo
Super league ndio mfano Wa wanaume balani ulaya ..
ila Liverpool, arsenal na spurs kama super league ingekubaliwa mngekimbia wenyewe kwenye mashindano ..
Mngekula misumari ya kutosha kila match ...
Kiufupi nyie mlikuwa underdog super league
Ufaransa wana Center backs wakutosha.Gossip Watch
Liverpool manager Jurgen Klopp is reportedly urging his board to seal the transfer of Sevilla defender Jules Kounde.
The highly-rated French centre-back is also being targeted by Real Madrid, but Klopp is supposedly pushing for his club to win the race for his signature, according to Diario Gol.
YNWA
Kweli kabisa jamaa hio idara wamejaliwa vipaji haswa aafu wengi vijana ambao wana miaka mingi tu ya kucheza.Ufaransa wana Center backs wakutosha.
Lenglet
Varane
Upemecano
Konate
Kounde
Umtiti
Laporte
Zouma
Kimpembe
Yaaani Pep na waarabu wake waliona wajaribu sasa kuisaka Champions League ki vingine kwa kucheza ligi ndani ya mfumo mpya wa ESL wangeipata na hata wakiikosa wanapiga ela. Duuh bora ilivyopigwa chini hatutaki short cut za kupata makombe na kupiga ela ndefuuu.Uefa ndo inatambulika wewe hiyo super league ndo upuuzi gani? na safari yenu imewadia kwa Mmbape hamchomoki Pep atabaki kukuna upara tu
Brighton na west brom tu mmewashindwa hao Madrid mnawafungaje sasa
Nawatakia ushindi ndugu.Atlentico Madrid alikufunga mara mbili Uefa. Sisi tumemfunga mara mbili bado huamini Chelsea tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Au kisa Madrid kakutoa Robo fainali unazani atamtoa na Chelsea?π€ͺπ€ͺ
Kwa kocha huyu usitegemee hao kama watapangwa labda hao aliokariri waumweGossip Watch.
Ibrahima KonatΓ© to Liverpool, here we go soon! The deal is set to be completed, personal terms agreed on a five-years contract.
Liverpool will pay the release clause to RB Leipzig in the next days [around β¬35m] in order to finalize the signing of KonatΓ©. ? #LFC https://t.co/N4OWqqXiGu
β Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) April 23, 2021
Romano ni trusted source hivyo hii itakua kweli.
FSG hawataki utani mapema wanafanya yao haha mashabiki wanataka vichwa vyao lol...
Watuletee Mbappe, Fekir na Yves na Halland ππππΏ na yaani tunatulia kabisa na kusahau wametukwaza.
YNWA
Pale mbele hakuna anaefunga zaidi ya Salah ha ha haaa Mane mpaka anatia huruma kwa kukosa Boby kajikatia tamaa imehamia kwa Jota nae hatariiiHuyu Jota leo amevurugwo nini.
Yaaani poor.
Ishu sasa benchi yenyewe.
YNWA
Kwa kocha huyu usitegemee hao kama watapangwa labda hao aliokariri waumwe
Atlentico Madrid alikufunga mara mbili Uefa. Sisi tumemfunga mara mbili bado huamini Chelsea tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Au kisa Madrid kakutoa Robo fainali unazani atamtoa na Chelsea?[emoji2957][emoji2957]
Nawatakia ushindi ndugu.
YNWA
Athletico mlimfunga gemu ya kwanza kwasababu hakucheza gemu uwanja wake na mechi ya pili nyie mlicheza Stamford bridge kwahiyo mlikuwa na advantage