Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Especially Milner aliwabana vizuri Modric & Kroos, alipotoka Milner na kroos akapumzishwa.
Credit to Madrid they were everywhere in the box to defend deep.
 
Especially Milner aliwabana vizuri Modric & Kroos, alipotoka Milner na kroos akapumzishwa.
Credit to Madrid they were everywhere in the box to defend deep.
Klopp mwenyewe amekiri sub zake jana hazikuleta alichotarajia.

Zidane ni one of the best tactician.

Madrid wana majeruhi zaidi yetu lakini utadhani kile ndio kikosi kamili.

Huyo Nacho jana lol.

YNWA
 
Definitely Nats asahau ile safari yake ya America atulie kwanza hapa hapa tuna kazi nae.

Even Rome was not built in one day so by playing many games the Nats boy is catching up to be one of the best. Now next main development ni apate lesson za kutosha kufunga corners maana tunapata nyingi mno huku magoli yakiwa hamna.

YNWA
 
Gossip Mill.

Salah most likely ndio atatolewa kafara kutua PSG. Liverpool wanatarajia kumuuza Β£100m. Mauzo hayo yatasaidia klabu kuwekeza kwa wachezaji wanaohitajika kuimarisha kikosi. Fununu zinasema ni AM, Forward, Winger, CB mmoja.

Kazi ipo.

YNWA
 
Hii timu kwa sasa kombe lake ni kuingia top four [emoji23][emoji23][emoji23]

Mpira unamaajabu ...

Hawa jamaa december mwaka jana walikuwa wanaongoza legue na kuamini wanaenda kuchukua epl ....



Oooooh my God.....

Hizi kuku
 
We shall see maana hapa sell to buy ni 50/50 iclick au ituunguze.
 
Fainali tunajua ni PSG Vs Real Madrid
Kabla ya hapo Ile 'Road to Instanbul' 'mara Instanbul kiwanja Cha nyumbani' kisa 2005 mlibebea kombe pale.

Kwahiyo fainali ilikuwa awe Liverpool na Buyern siyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii timu kwa sasa kombe lake ni kuingia top four [emoji23][emoji23][emoji23]

Mpira unamaajabu ...

Hawa jamaa december mwaka jana walikuwa wanaongoza legue na kuamini wanaenda kuchukua epl ....



Oooooh my God.....

Hizi kuku
Hizi kuku makombe yao huwa ni EPL na UEFA saiv UEFA hawapo Tena hivyo wamebaki na EPL tu ..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zile Mickey mouse cup wanawaachiaga nyie na timu zenu ndogo ndogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila bado wanauwezo wa kuchukua EPL
Hawana uwezo hata kama man city akipoteza game zote zilizobaki ...


Yaani kwa sasa liverpool hawez maliza juu ya city hata mbingu ipasuke ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii timu kwa sasa kombe lake ni kuingia top four [emoji23][emoji23][emoji23]

Mpira unamaajabu ...

Hawa jamaa december mwaka jana walikuwa wanaongoza legue na kuamini wanaenda kuchukua epl ....



Oooooh my God.....

Hizi kuku
Bora ukameze pain killer maana we n bonge moja kilaza.. December ipi hiyo liver alikua anongoza ligi? Hahhahahahah kweli wewe chizi
 
"Sell to Buy" Hivi umuuze Origi au Xhaqiri upate pesa ya kumnunua Mchezaji wa maana? Kweli?
Ni kwamba tunauza Magarasa kwa kununua Magarasa.

Ili tununue Mchezaji wa Maana ni lazima tuuze Mchezaji wa Maana kama ilivyokuwa kwa kumuuza Coutinho.

Nikiangalia kwenye Timu yetu Mchezaji pekee atakayetupatia hela ya maana tutakapomuuza ni Salah, sasa FSG watalazimika kumuuza Salah ili wajenge Timu, but kweli Kocha mwenye akili Timamu anaweza kumuuza Salah?????
 
Kama ambavyo Kocha mwenye akili timamu alimuuza Coutinho akiwa moto kweli kweli ndio hivyo hivyo na sasa Salah atauzwa. Na pengine kwa kutazama pesa ya Coutinho ilivyotumika vyema kuimarisha kikosi basi naamini na hii ya Salah itakua vile vile ndugu.

Zipo tetesi tena kwamba anaeuzwa ni Mane na tayari Klopp kashaamua kwenda Barcelona kumchukua Dembele kama like for like replacement.

Muda utasema.

YNWA
 
Hawa akina Dembele siwana vilaka chungu nzima? Walahi tutaumbuka sisi yaan kununua majeruh wakila siku
 
Tunaomba ibakie tetesi tu
 
Hawa akina Dembele siwana vilaka chungu nzima? Walahi tutaumbuka sisi yaan kununua majeruh wakila siku
Bwana wee dogo Dembele msimu huu ameamka aisee na yupo moto sana mpaka sasa ana magoli 28. Nadhani Klopp wanaangalia form yake ya sasa ilivyo moto pengine ndio inawapeleka kuona anafaa kuchukua nafasi ya Mane.

Nwei haya yote ni Gossip Mill ukweli anaujua Edwards.

YNWA
 
Tunaomba ibakie tetesi tu
Muda utasema Mkuu Bengalisis.

Kwa Gini binafsi naona Yves kutoka Brighton anatosha.

Kwa Firmino zipo tetesi Surez anarejea nyumbani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Na huyu dogo Taiwo Awoniyi ni namba 9 yupo mkopo Union Berlin Ujeremani atarejea Liverpool kuja kupambana huku akiwa understudy kwa Surez.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…