Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,470
- 32,921
Umekaa kichawichawi sanaPoa nimekusikia B khadija koppa.
Sure timu imechoka balaaaaKama hii timu tunaenda nayo msimu ujao, tujiandae na kelele za Klopp out.
Binafsi swala la timu hii hata Klopp lunamhusu. Hafanyi majukumu yake ipasavyo.
You 'll never weep alone.Sure timu imechoka balaaaa
Refa hajawabeba hawa wapinzani wenu?Hata mechi ya Burnley nilifungwa lakini jitihada zilikuwa zinaonekana ni ile ilitokea bahati mbaya tu, leo umechezwa utopolo sijapata kuona, cjui mara ya mwisho kuona liverpool ya hovyo kama hii ya leo ilikuwa lini tu?
Pole mkuu naona umechanganyikiwa kabisaIli ushinde Anfield inabidi timu ianziwe na herufi B.
Next match City watakuja huku wanajiita Banchester City. Arsenal itakua Barsenal. Chelsea Bhelsea...
Sawa dada, njoo unitoe nakusubiriUnajijua uwezo huna, kazi kubebwa tu.. ile si nafasi yako.
Hutachukua muda mrefu kabla ya kuwapisha wenye nafasi zao.
Man City hapendi biashara ya kubahatisha!Duuh hapa Manchester City wananunua wachezaji wawili tu ama watatu kwa huo mpunga...
YNWA
Ahahaaaaah!Man City waje tu hata mchana huu tupo tayari
Ahahaaaaaah!!!No
Mane
Kipa Becker
Fabihno
Matip
VVD
Gomez
Jota
Liverpool HALISI tuchukulie matokeo ya hii mechi kama changamoto yetu ya majeruhi,tuzidi kuwa nyuma ya team nawaomba sana