King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,463
- 7,457
Hahahahha, watu mna utani mbaya sana yaani. Eti goli la mwezi wakati hawana hata moja.Now the problem is which goal would Liverpool use as their goal of the month[emoji848]
Hahahahha, watu mna utani mbaya sana yaani. Eti goli la mwezi wakati hawana hata moja.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Klopp aje kwa matajiri wa London amention mchezaji yoyote anayemtaka atampata.
Ajenge flop players
- Aguero Tested positive Covid-19
- KDB out for 6 weeks due to hamstring injury
- Vardy out for unknown weeks due to Ngiri
- Lampard out of Top Four for several weeks
- Arsenal their whereabout unknown
- Klopp his Liverpool is out of control
Sasa naamini huu ni mwaka wa Manure kila tukio linawafavour wao wabebe Ubingwa.
Fabinho influence at AM is underrated kwa sasa imeeleweka vyema ni akina ndio unsung heroes....Ukisikia kuaibika ndiyo huku 😅
Liverpool Halisi wenzangu munisamehe kwa hili.
Hivi yule Mchezaji wetu pendwa Captain bora wa muda wote tuliyelazimishwa tuamini kuwa ndiye aliyetupa Makombe kwa kuibeba Timu kwa Mabega yake sasahivi yupo wapi kwenye kipindi hichi kigumu? 😂
Si atuvuushe tu skipper wetu! Tuvushe Hendo tuvusheee 🎶🎵🎶🎶
Ilikuwa mikelele mingi Hendo katupa Makombe sasa tushapoteana watu Wanalia na VVD, GOMEZ na JOTA hakuna anayemtaja Captain.
Watakaporudi wenye Timu tukaanza kushinda misifa itarudi tena kwa Hendo.
Ukisikia kuwa Exposed ndiyo huku! Sasa imeshajuilikana ni kina nani ndiyo Waliokuwa wanaibeba Timu.
Captain alizoea mbeleko wa kina VVD, FABINHO, SALAH, MANE, TAA, ROBBO na BOBBY, sasa mbeleko umekatika kawa kama Saidi Ndemla tu.
Ukisikia kuaibika ndiyo huku 😅
Liverpool Halisi wenzangu munisamehe kwa hili.
Hivi yule Mchezaji wetu pendwa Captain bora wa muda wote tuliyelazimishwa tuamini kuwa ndiye aliyetupa Makombe kwa kuibeba Timu kwa Mabega yake sasahivi yupo wapi kwenye kipindi hichi kigumu? 😂
Si atuvuushe tu skipper wetu! Tuvushe Hendo tuvusheee 🎶🎵🎶🎶
Ilikuwa mikelele mingi Hendo katupa Makombe sasa tushapoteana watu Wanalia na VVD, GOMEZ na JOTA hakuna anayemtaja Captain.
Watakaporudi wenye Timu tukaanza kushinda misifa itarudi tena kwa Hendo.
Ukisikia kuwa Exposed ndiyo huku! Sasa imeshajuilikana ni kina nani ndiyo Waliokuwa wanaibeba Timu.
Captain alizoea mbeleko wa kina VVD, FABINHO, SALAH, MANE, TAA, ROBBO na BOBBY, sasa mbeleko umekatika kawa kama Saidi Ndemla tu.
Captain mwenye uwezo huo alikua huyu hapa playing beside bams like Hendo... Cant imagine angekua kapata bahati ya kucheza na hawa vijana wa sasa..
View attachment 1683507
YNWA
Liverpool six Premier league defeats since the start of last season.
Wartford NO HENDERSON
Man City NO HENDERSON
Arsenal NO HENDERSON
A Villa NO HENDERSON
Southampton HENDERSON CB,Not in Midfield
Burnley NO HENDERSON
Liverpool Halisi kumbe wako sahihi Engine ya timu ni HENDERSON Au nasema uongo ndugu yangu Malafyale kinogozi wa LIVERPOOL HALISI.
hahhaaaaaaKutumia £230 ikisha asichukue Ubingwa ningekuwa mimi ndiyo tajiri wa Chelsea si tu kwamba ningemfukuza bali ningempeleka Mahakamani kabisa kumfungulia Kesi ya Uhujumu Uchumi.
manyua niachieni tarehe 30 , hawez kukaa pale juu kwa mpira wa kuviziavizia.....
- Aguero Tested positive Covid-19
- KDB out for 6 weeks due to hamstring injury
- Vardy out for unknown weeks due to Ngiri
- Lampard out of Top Four for several weeks
- Arsenal their whereabout unknown
- Klopp his Liverpool is out of control
Sasa naamini huu ni mwaka wa Manure kila tukio linawafavour wao wabebe Ubingwa.
Tarehe 30 inahitajika upasuke ndio uwe na adabu.manyua niachieni tarehe 30 , hawez kukaa pale juu kwa mpira wa kuviziavizia.....