OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,316
Unaota mchana wewe ..kombe linaenda LondonNarudia tena, "mpaka mwezi wa pili mutakua mushafika kwenye nafasi yenu ya tatu".
Ligi hii tuna maliza msimamo ukiwa hivi :
Manchester United
Evaton
Liverpool
Chelsea
Reserve these words [emoji2]Hiyo mbona iko wazi kabisa, kwamba tunashinda haina ubishi.
Wanaonabisha ni Manyumbu peke yao.
Siku hiyo watajiona hawajui.
Cha kushangaza ndani ya R17 Utd kwa miaka 7 hajawahi kuongoza ndio uone tofautiHata Southampton aliongoza.
Msimamo wa ligi unaoeleweka ni March.
Cha kushangaza ndani ya R17 Utd kwa miaka 7 hajawahi kuongoza ndio uone tofauti
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Nilichogundua hii timu ina kanuksi flani ka kutokuhimili presha tunapokua tunaongoza ligi, labda itokea wanaotufukuza wawe mbali kabisaa ila huwa tukiwa tunakaribiana karibiana halafu sisi tuwe juu tunaanguka kiajabu ajabu, Klopp afanye jambo msimu huu afute hii gundu
2014 Tuliongoza vizuri tuu shida City akawa anashinda shinda nyuma yetu tukatetemeka kombe likapepea
2009 same story
2019 ndo sitaki hata kukumbuka namna tulishindwa
Mzee kaa kwa kutulia aisee... Umeandika para nyingi sana... Hakuna vita hapa nyie tulieni.. Maana wakati mnaongoza hakuna aliwapangia kuwa hapa mtakaa kwa muda gani. Halafu hujajua wewe kwa misimu mitatu successful msimu uluopita ndio ulitoboa tu ssa mbwembwe za nini? [emoji1787][emoji1787]Ndio mnakuwa wehu kama mmechukua kombe vile?
Wengine wameshazoea nyinyi ndio mara ya kwanza Baada ya muda mrefu ,ndio maana mmewehuka sasa tunawajulisha utaratibu uliopo hapo kwenye kuongoza ligi.sasa bado hamtaki kuamini mnalazimisha kwamba mnachukua ligi.
Sasa hivi nimejua kumbe mjawahi kuongoza ligi kwa muda mrefu sana,ndio maana mnaona ajabu kwenu.
Wenzenu tumeshazoea kukaa hapo juu,tukikaa hapo hatuoni ajabu.sisi tunaangalia ubora wa timu yetu mapungufu yako wapi na tuchezeje.
Wao ndo wanajiita wazoefu[emoji16][emoji16]Mzee kaa kwa kutulia aisee... Umeandika para nyingi sana... Hakuna vita hapa nyie tulieni.. Maana wakati mnaongoza hakuna aliwapangia kuwa hapa mtakaa kwa muda gani. Halafu hujajua wewe kwa misimu mitatu successful msimu uluopita ndio ulitoboa tu ssa mbwembwe za nini? [emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
wanachopitia utd kwa sasa ndicho tulikua tunapitia sisi miaka ile michungu!
yani tukikaa top hata kwa bahati mbaya tunapiga kelele kama mabingwa vile........ miaka ya Houlier, Rafa, na Brendan....
tusiwalaumu pundamilia jamani
Nashangaaa mkuu... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wao ndo wanajiita wazoefu[emoji16][emoji16]
hapana, 2009, 2014, 2019 walikuwepo wote tuu hata hatukua na injuries presha ilitushindaMkuu kwa upande wangu kukosekana kwa baadhi ya wachezaji kwenye baadhi ya mechi ndio imesababisha yote hayo .
Na sio habari ya pressure.wachezaji wakubadilisha matokeo ndio wanakuwa wanaumia kila wakati.
Wachezaji wote wakiwepo hakuna timu yakutusumbua hapo wala kutupa pressure.
We nae ka falaLiverpool HALISI tuendelee kuwa na team,tarehe 17 tukubali kila aina ya matokeo,tusiwe na matokeo yetu mfukono!
Tuheshimu maamuzi ya Klopp na tuendelee kuwaunga mkono wachezaji
[emoji3]We nae ka fala
Hahaha ndugu hio haipo na haitakuwepo..Halafu kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba Henderson ni bora zaidi ya Gerrard.
Wewe si umejiunga na praise timu ya Liverpool HALISI na hata mwezi hujafikisha unarudi kwa akina NgwabaHalafu kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba Henderson ni bora zaidi ya Gerrard.