Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Alikuwa anakazana ili aongezewe mkataba sasa ameshapewa mkataba mpya haoni haja ya kujituma tena kama asipochezA na mshahara anapata haoni Tatizo kwake,
 
Kama vile shot on target zilikua mbili tu jana...

Mane moja ikazaa goli.. Firmino moja kipa akapangua...

Ki ukweli WBA deserved kushinda ile mechi...

We were poor 1st half 80+% ball possession aafu kagoli kamoko seriously.....

YNWA
 

Nakumbuka tulicreate ajira ya kumuajiri Setpiece Specialist lakini toka tuajiri mpaka kufikia leo sikumbuki mara ya mwisho tulifunga lini kwa Freekick.
 
Tatizo lako unadhani huwa hujawahi kukosea na hutakiwi kukosolewa.

Sasa kama tusome halafu tusijibu umemuandikia nani?
Umetaja wengi wakosoaji ila umejisahau wewe pia nasi tunakukumbusha.

Unajikutaga kama vile huu Uzi ni wako
Takataka
Nahisi utakuwa una mchukia tuu kwa michango yake .....ukisoma bila mihemuko ni wazi utaona nae amejikosoa kwa kumkosoa Hendo
 
Thamani ya:-
Kepa
Harvertz
Joginho
Werner

Bei ya hawa Flops unaweza kununua Timu kabisa na ukacompete Top 4.

Siamini kuwa hawa Wachezaji hawakuwa na uwezo/vipaji ila management ya Lampard ni destroyer rather than kuboresha.

Soon Chillwel na Mendy atafall In the same category ya hawa wajamaa.
 
Nahisi utakuwa una mchukia tuu kwa michango yake .....ukisoma bila mihemuko ni wazi utaona nae amejikosoa kwa kumkosoa Hendo

Ngwaba hajajikosoa, kaweka ushauri kwamba tusiweke chuki binafsi kwa wachezaji wetu.

Kukosoa bila vigezo, unakuta mtu anamchukia mchezaji ambaye anatimiza majukumu yake vilivyo.

Hendo was a trash by then, ila sasa hivi anajitahidi (kakiwango kamepanda), lakini pia ukilinganisha na viungo tulionao, yeye ni angalau hasa in terms ya kutokuwa na injuries.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…