Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi sishangai


Hawa West Brom tulianza kuwafunga hivo hivo

Confidence ikawa kubwa, tukawachukulia poa

Walivootea kusawazisha

Mpaka game inaisha, pep alikuwa anakuna upara, hakuaamin


This is football
 
Sijui walitegemea muujiza...

We were poor tody and Big Sam deserved the point... Proper game plan...

YNWA
M mwenyewe sijaelewa Yan mchezo tumeuchukua wote tatizo ni kufunga ..mpaka tunafungwa goli jepesi sana Kama lile duuh ..
Pale mbele tulikuwa butu leo ..mi naona hata ile kadi aliyopewa Klop sababu ya stress za kutoelewa inakuaje tunakosa magoli vile ila aliamua kumalizia hasira kwa refa japo haikuwa faulo kiiivyo ila sikuamini jamaa kupanic vile kabisa.
 
Who cares about 80%plus,possession if the end result ain't 3 points......

Ninachokiona hii timu inahitaji mchezaji sampuli ya Coutinho mwenye udhubutu wa kujaribu mashuti nje ya 18...

Mechi zote tulizo draw Klopp anakua anajua fika atakutana na kupaki treni kipindi cha kwanza na kipindi cha pili tunapigwa kaunta...meaning hawa ni kupigwa kipindi cha kwanza mapema wapagawe wafunguke...

Klosi za TAA na Hendo leo zilikua hovyo kabisa...

YNWA
 
Tusije kuijutia hii game mbeleni..Kama game ya pili dhidi Manure ile sare msimu wa 18/19 .
All in all it is football..mapambano yanaendelea amini kuna la kujifunza.

#YNWA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom