wakwetu_tz
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 122
- 171
Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..
Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EP
Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..
Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...
YY
Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..
Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...
Kwa takwimu hizo umeshaona kati ta salah na mane nani mwenye umuhimu zaidi?Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..
Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...
YNWA
Ilikua hivi ndugu...Kwa takwimu hizo umeshaona kati ta salah na mane nani mwenye umuhimu zaidi?
Unasema salah ni mbinafsi lkn kwenye assist kamzidi mane
Mi ni shabiki mkubwa wa Liverpool ila huwa nikimtizama mane huwa anapoteza mipira mingi sana pale mbele tofauti na salah
Yves nilisoma Brighton wanasema bei ni £30m kwa bei hio wapo tayari kuuza...Gini Wijnaldum is likely to depart on a free transfer next summer. Reportedly he wants double his current wages, He earns £75k p/w currently, double would take him to £ 150k p/w.
Yves Bissouma representative Michelle N'Cho has confirmed that his significant interest in Yves from Liverpool, Monaco,two La Liga teams and also Arsenal.
Bissouma is being closely followed by Liverpool ahead of the January transfer window ,with manager Jurgen klopp tracking him as a pontelial replacement for Wijnaldum.
Nimekuelewa sana kopIlikua hivi ndugu...
Takwimu pembeni je mbona bila Salah kama vile timu pale mbele inacheza kwa kuonana zaidi kuliko akiwepo..
Nadhani wanaangalia zaidi hakuwepo mechi ya Leicester na mechi ya jana pia na ile interview yake na AS na kuona kama vile maisha bila yeye inakua aje..
Ni utabiri ndugu hakuna ishu...
YNWA
Hivi apart from ku assist huoni Mane anavyojitajidi ku create magoli? Anaweza aka assist mwingine lakini Mane binafsi namkubali anavyopambana uwanjani,Kwa takwimu hizo umeshaona kati ta salah na mane nani mwenye umuhimu zaidi?
Unasema salah ni mbinafsi lkn kwenye assist kamzidi mane
Mi ni shabiki mkubwa wa Liverpool ila huwa nikimtizama mane huwa anapoteza mipira mingi sana pale mbele tofauti na salah
Hivi Wakuu haya maneno ya bila Salah tunacheza vizuri yamekaa aje kwamba kwa mfano wenye timu yao wakiamua kuuza kati ya Salah na Mane nani atangulie kuuzwa maana hakuna asiekua na bei...
Ukitazama kwa umakini utaona Mane kwa sasa ni bora atoe pasi kama anaona hajakaa kwenye nafasi bora ya kufunga lakini kwa Salah ni tofauti yeye hua ni kushot na kushuti ndio maana hata most shot anaongoza yeye je haya ni maelekezo ya Klopp ama kajiamulia mwenyewe...
Mane ni team player kwenye hili anazidi kukua na kupunguza 'ubinafsi'...
Salah ni mfungaji kwenye hili yupo makini ndio anaogoza EPL kwa sasa kama mfungaji bora meaning upo uwezekano wa kupata kiatu cha dhahabu kwake.. He is averaging 1 or 2 goals per game this season...
Mambo ni mengi ..
Ningependa wabakie wote ila kama mmoja lazima auzwe basi kwangu ningesema bye bye Salah...
YNWA
Hahahaha mkuu je is Salah bigger than Liverpool?Dah! Yani Mkuu hata wewe umekuwa corrupted na mawazo ya Wa wasiojua Mpira?
Hii kauli ya kuwa asipokuepo ya Salah ndiyo tunacheza vizuri sijawahi kuisikia kwa Mtu yeyote anayejua Mpira zaidi ya Madogo wa hapa JF ambao kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wameipenda Liverpool baada ya Kuja Klopp.
Huwezi kumuuza au kumbeza mchezaji ambaye huu ni msimu wa 4 mfululizo ndiye mfungaji wetu Bora.
Tuache ushabiki wa kukariri maneno ya Watu wengine wanaojisemea bila ya kuwajua Watu hao ni aina gani.
Usijeshangaa unaamini maneno ya Wanaosema hivyo kumbe ni Madogo wa Sekondari wanaangalia Matokeo wakiwa Boarding badala ya kuangalia mpira.
Ki takwimu Mane hachomoi maana Salah average a goal every 90 minutes huku Mane ni aroun 280 minutes... Mane offers more link of play, more interception nk....Nimekuelewa sana kop
Ila kwa mfano mechi ya Jana mane alicheza dk 75 akafunga goli 1 na assist 1
Salah hakucheza zaid ya dk 30 akafunga goli 2 na kuasisst 1
Mi bado naona mkweli pekee ni takwimu.
Unaweza thibitisha magoli ya salah?Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..
Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...
YNWA
Case closed....Kuna swali moja lazima tuelewe! Mchezaji Superstar yeyote anapovizia Mkataba mpya lazima ataanzisha Skendo za kupressurize pressurerize
Naona mnasahau miaka 29 bila epl
Salah mnaanza kumzalau sasa
Hivi nyie salah akiondoka mna mtu wa kuwapa gori 20+ kwa msimu mzima
Masikin akipata matako hulia mbwata
Mkuu tembelea infogol utayakuta huko..Unaweza thibitisha magoli ya salah?
Nimekuelewa sana kop
Ila kwa mfano mechi ya Jana mane alicheza dk 75 akafunga goli 1 na assist 1
Salah hakucheza zaid ya dk 30 akafunga goli 2 na kuasisst 1
Mi bado naona mkweli pekee ni takwimu.
Bado mnatu-rank (United) chini ya City as tittle contender?
Umenena sawia kopDah! Yani Mkuu hata wewe umekuwa corrupted na mawazo ya Wa wasiojua Mpira?
Hii kauli ya kuwa asipokuepo ya Salah ndiyo tunacheza vizuri sijawahi kuisikia kwa Mtu yeyote anayejua Mpira zaidi ya Madogo wa hapa JF ambao kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wameipenda Liverpool baada ya Kuja Klopp.
Huwezi kumuuza au kumbeza mchezaji ambaye huu ni msimu wa 4 mfululizo ndiye mfungaji wetu Bora.
Tuache ushabiki wa kukariri maneno ya Watu wengine wanaojisemea bila ya kuwajua Watu hao ni aina gani.
Usijeshangaa unaamini maneno ya Wanaosema hivyo kumbe ni Madogo wa Sekondari wanaangalia Matokeo wakiwa Boarding badala ya kuangalia mpira.