Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..

Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EP

Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..

Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...

YY

Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..

Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...

Mane ana assist 2 Salah ana assist 3 EPL..

Mane ana goli 5 na Salah ana goli 14 EPL...

YNWA
Kwa takwimu hizo umeshaona kati ta salah na mane nani mwenye umuhimu zaidi?
Unasema salah ni mbinafsi lkn kwenye assist kamzidi mane
Mi ni shabiki mkubwa wa Liverpool ila huwa nikimtizama mane huwa anapoteza mipira mingi sana pale mbele tofauti na salah
 
Ilikua hivi ndugu...

Takwimu pembeni je mbona bila Salah kama vile timu pale mbele inacheza kwa kuonana zaidi kuliko akiwepo..

Nadhani wanaangalia zaidi hakuwepo mechi ya Leicester na mechi ya jana pia na ile interview yake na AS na kuona kama vile maisha bila yeye inakua aje..

Ni utabiri ndugu hakuna ishu...

YNWA
 
Yves nilisoma Brighton wanasema bei ni £30m kwa bei hio wapo tayari kuuza...

Camavinga na Houssem pia ni option..

Kuna dogo yupo Borrusia Makachakala whatever 🙄🙄🙄🙄🙄 nae ana balaa...

In Edward i trust...

YNWA
 
Nimekuelewa sana kop
Ila kwa mfano mechi ya Jana mane alicheza dk 75 akafunga goli 1 na assist 1
Salah hakucheza zaid ya dk 30 akafunga goli 2 na kuasisst 1
Mi bado naona mkweli pekee ni takwimu.
 
Hivi apart from ku assist huoni Mane anavyojitajidi ku create magoli? Anaweza aka assist mwingine lakini Mane binafsi namkubali anavyopambana uwanjani,
 

Dah! Yani Mkuu hata wewe umekuwa corrupted na mawazo ya Wa wasiojua Mpira?

Hii kauli ya kuwa asipokuepo ya Salah ndiyo tunacheza vizuri sijawahi kuisikia kwa Mtu yeyote anayejua Mpira zaidi ya Madogo wa hapa JF ambao kuna uwezekano mkubwa wa kuwa wameipenda Liverpool baada ya Kuja Klopp.

Huwezi kumuuza au kumbeza mchezaji ambaye huu ni msimu wa 4 mfululizo ndiye mfungaji wetu Bora.

Tuache ushabiki wa kukariri maneno ya Watu wengine wanaojisemea bila ya kuwajua Watu hao ni aina gani.
Usijeshangaa unaamini maneno ya Wanaosema hivyo kumbe ni Madogo wa Sekondari wanaangalia Matokeo wakiwa Boarding badala ya kuangalia mpira.
 
Hahahaha mkuu je is Salah bigger than Liverpool?

Ni hivi tunajaribu kuisoma ile interview yake na AS kwa mapana...

Je bila Salah tutakua salama kiasi gani nk...

Kama umefuatilia mijadala tofauti kuhusu hili swala utaona kuna baadhi wanasema kama anataka challenge mpya basi auzwe wengine wanasema kam ela kubwa basi apewe hua mshahala...

Ndio maana nikasema ni utabiri tu usiokua verified na Klopp wala Salah mwenyewe na Klopp alishasema its cool..

David James our former GK anasema Salah auzwe tu kama anahitaji changamoto mpya...

Nwa whatever Klopp decide am with him man...

YNWA
 
Nimekuelewa sana kop
Ila kwa mfano mechi ya Jana mane alicheza dk 75 akafunga goli 1 na assist 1
Salah hakucheza zaid ya dk 30 akafunga goli 2 na kuasisst 1
Mi bado naona mkweli pekee ni takwimu.
Ki takwimu Mane hachomoi maana Salah average a goal every 90 minutes huku Mane ni aroun 280 minutes... Mane offers more link of play, more interception nk....

Man kweli Klopp katubadilisha mentality leo hii mashabiki wana amani No Salah No problem kweli tunatembea kifua mbele...

Uzuri Salah mwenyewe yupo open kuongeza mkataba regardless ya ile interview hivyo tuwe na subira muda utasema...

YNWA
 
Nimekuelewa sana kop
Ila kwa mfano mechi ya Jana mane alicheza dk 75 akafunga goli 1 na assist 1
Salah hakucheza zaid ya dk 30 akafunga goli 2 na kuasisst 1
Mi bado naona mkweli pekee ni takwimu.

Yani kwenye Uzi huu ukitaka usielewane nao basi waletee takwimu! Yani kuhusu takwimu huwa hawataki kabisa watakurushia mpaka ngumi za uso.

Wao wanapenda muongelee hisia tu na stori za kwenye magazeti za hapa na pale.

Ukiwaambia nipe takwimu za Mane, Wtakwambia hana takwimu nzuri lakini anajitahidi!! Sasa hizo jitihada zake tuzipime kwa kitu gani? Watakwambia anahangaika uwanjani! Sasa hicho anachokiangaikia si tukipime kwa takwimu? Hapo ndiyo utakosana nao kabisa. Hili lilinitokea nilipotaka tumpime Henderson kwa Takwimu wajeba wakagoma.

Huyu Salah kinachofanya asipewe Heshima anayostahili ni Kutokuwa Muengereza tu! Angekuwa Muengereza basi angejengewa Sanamu.

Angalia walichokifanya Mane, Salah na Bobby kwa huu msimu wa 4 mfululizo basi Sifa zote zinaishia kupewa kwa Henderson as If anacheza pekeyake uwanjani.
 
Umenena sawia kop
Tuacheni porojo salah ni wamuhimu sana kwenye timu kuliko hata mane
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…