Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Karibu mkuu, vipi umejaribu ku-reset password?

Kama email unaikumbuka nadhani hii ni option unaweza kuijaribu.
 
Baada ya Chelsea kuchoma jana kwa Everton, leo Tottenham, Liverpool, Arsenal na Leicester wako uwanjani.

Je, kuna atakayechoma?

Kwa shauku ya kutaka kubaki juu Liverpool peke yake, natamani Crystal Palace awapunguze spidi Tottenham. Ili game yetu Jumatano tupanue gap zaidi.
 

Harry Kane tayari katupia.
 
ahahah leo umekuja kwa heshima tutakusikiliza kidogo tunawafunga goli chache tu 3 tena kipindi cha pili
 
Pole ndugu tumekusoma....

Bila shaka Adrian kwa sasa mtafutie timu ale kona naona kama vile Klopp kashamchoka...

YNWA
 
Ni kitu cha kawaida tu hicho kutokea kwa wachezaji mpira.
Hata Man City msimu uliopita alipitia hichi kikombe.

Nahisi kuanzia Jan tutakuwa sawa
Hivi Mkuu King mbona mimi na wasiwasi na January kama miaka yote ndio hua tunaanza poteana aisee...

Whats makes this year a bit different na upo uwezekano usajili wa beki usiwepo kwa vile hawa wasaidizi wa academy wame step up...

Time will tell...

YNWA
 
Yani sashivi hata Akiumia Alisson msimu mzima nina amani kabisa as long as Adrian sio chaguo namba mbili tena.

Yani Bingwa Mtetezi anamchomesha 7??? No way.
Hahahaha Allison leo naona amerejea mazima...

Adrian kwa sasa mapema atufute timu asepe zake....

YNWA
 


Mimi naamini January tutakuwa vyema Kwasababu hakuna issue ya wachezaji kuchoka kutokana na Kuwa wengi wamekaa nje kwa Majeruhi na Covid.
Hivyo tutakuwa Vizuri bali hasara kwa wale ambao hawakupata injury nyingi eg. Spurs hivyo wachezaji wao hawakupumzika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ana dakika zake 30 tu za kurudi Kitabdani
Bwana huu ndogo tatizo yupo direct mno yaaani aafu habadiliki kamwe injury zake zipo almost uniform...

Anahitaji malaika wamlinde maana bado tuna changamoto ya goli nje ya kumi na nane na kwa sasa ndio mchezaji pekee mwenye udhubutu wa shooting those long range goals...

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…