Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Boby kazibyake kubwa ni kuunganisha team kufunga ni ziada tu
 

[emoji3]
 
Hem kumbuka gem zote ngumu alizokosa kucheza si ya juzi tu
Basi na mm ntakuambia kumbuka game zote alizocheza ili tufanye comparison nzuri ya umuhimu wake mkuu......salah anakosa magoli sana na anafunga na kutengeneza magoli sana ukimlinganisha na wenzake kwenye timu.

Yaan ukichukulia mfano mdogo ule msimu aliokuja liverpool salah kwenye lig alikuwa na goli 32 lakin ukiangalia clear chances alizokosa zinafika hata 12 au 15 kwenye huo msimu na misimu iliyofuata pia yeye ndiye mfungaji bora wa timu na pia yeye ndiyo anayeongoza kukosa nafasi nyingi...sasa kama mtu unajua kuchagua vizuri kitu kwa kulinganisha faida na hasara zake utajua umuhimu wa salah.

Faida ya salah akiwa uwanjani kwa upande wangu
1.anachukua concetration ya mabek wa upande anaocheza(nikisema mabek namaanisha zaid ya mmoja coz mabek wanajua hatari yake kutokana na kasi so mara nyingi watu zaid ya wawil hupangwa kumuangalia salah)
2.speed yake ndo silaha kubwa
Kuna mabeki ambao wana weza kumzuia salah ila speed tu ndo inayowasumbua na ndo hapa anapopatia magoli yake mengi.

Hasara za salah
1. Anatabirika kirahisi(he is very predictable)
Yaan salah akiwa kwenye boksi ww jua tu lazima atataka akugeuze ili aweze kupiga kwa mguu wake wa kushoto na hapa ndo anapokosana na watu wengi maana faida zake hizo mbili hapo juu zinampa chance nyingi za magoli ambayo sometimes anakosa na kwa kuwa chance anazopata ni nyingi unaweza kudhan kuwa ni striker butu

All in all liverpool inacheza kitimu zaidi na sio kumtegemea mtu mmoja so wachezaji wote wa liverpool ni wazuri na kila mmoja ana umuhimu wake mkubwa
Huyu jota yuko kwenye kiwango bora sana na anastahili kuanza katika kila mechi kama hawataweza kucheza watu wanne pale mbele naamin mtu yeyote kati ya (salah ,mane au firmino) atampishA jota lakin haimaanishi kwamba huyo mtu ni kikwazo kwa timu
 
Tulishateseka Sana na Liverpool ya akina Sinama Pongole, Voronin, Pellegrino, Carrager,
nk. Sidhani kama itakuja tokea Liver mbovu kama ya kipindi kile.

Ulitegemea Man Utd ije kuwa hivi ilivyo leo?

Yaani ndani ya michezo 5 ya ligi kwenye uwanja wao (Theatre of Dreams) wameshinda game 1 tu, 3 watafungwa!

Hizi timu zinapokezana maumivu, hakuna club inakaa juu muda wote.
 
Japo wengine tumeamua kuwa wasomaji tu lkn imenibid nichangie kwa kusema....UMEMALIZA KILA KITU HAPA
 
Sidhan km kuna mtu anasema Mo si muhimu, ila kinachosemwa n kuwa kwa sababu Klopp katengeneza fluidity, bas hata Mo asipokuwapo, lfc itashinda tu. Ni simple hivyo tu

Sasa kwanini awe Targeted MO tu?

Nitajieni mchezaji mwengine ambaye asipokuwepo hatushindi?

Hapa Watu Wanajificha tu lakini ukweli ni kwamba wanachukia na Salah ila hawaitangazi.

Tumemkosa VVD - Tunashinda lakini hajadiliwi

Tulimkosa MANE - Tulishinda lakini hakujadiliwa

Tumemkosa FABINHO - Tunashinda lakini hajadiliwi

Tumemkosa HENDERSON - Tunashinda lakini hajadiliwi

Tumemkosa TAA - Tunashinda lakini hajadiliwi

ila kukosekana Salah game 1 tu imeshakuwa mjadala why?

Kama kushinda ndiyo mchezaji sio pengo kwanini na hao wengine tusiseme kuwa sio pengo?

According to maelezo yenu! "LIVERPOOL HAINA MCHEZAJI ANAYEWEZA KUACHA PENGO PENGO WAKATI ASIPOKUEPO".

Tusimuandame Salah tu bali kuna wengi kwenye kikosi hatunao na tunashinda! Juzi tungefungwa tu basi kuna kundi lingeibuka hapa kusema tumefungwa kwasababu hakucheza Henderson! Lakini wakati Tumeshinda halisemi kuwa Tumeshinda wakati hakucheza Henderson! Bali wamemgeuzia kibao Salah.

Hivi ndani ya Liverpool munasahau kama Salah ndiyo Superstar wetu kuliko mchezaji yoyote yule na haijalishi anacheza vipi?

Hebu weka Sokoni wachezaji wote wa Liverpool uone kama kuna mchezaji atakayemkaribia Salah.
 
Tulishateseka Sana na Liverpool ya akina Sinama Pongole, Voronin, Pellegrino, Carrager,
nk. Sidhani kama itakuja tokea Liver mbovu kama ya kipindi kile.

Mkuu lazima tutarudi kwenye kipindi cha Mpito! Hivyo tunapaswa kukusanya Trophies za kutosha kwenye kipindi hichi ili tukiingia kwenye kipindi cha mpito tuwe tumeshasomba kila kitu.
 
Hee nmefurahi kuleta mjadala na Mimi watu wanabishana [emoji16][emoji2936]
 
Sometimes inabidi ucheke kwa hizi comments.
Kweli!!!! Kazi yake ni kuunganisha??? Na kufunga niziada???? Kweli!!!!!!! Tuweni siriazi Kidogo.

Jota yupo, sisi timu Jota tunasema kazi kazi tu. Magoli kwa kwenda mbele.

Juzi baada ya Bobby kufunga binafsi nilishangilia sana, maana kwa zile kosa kosa alizofanya angetoka bila goli hali ingekuwa mbaya sana kwake na kwa mashabiki zake.

Kuna makosa alifanya mpaka Baba Swalehe akawa anajiuliza atamwambia nini Swalehe kwamba lile halikuwa goli!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…