Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna watu Kama hamuelewi Boby kumbukeni Ni Bado Sana kumlinganisha Jota na Boby

Boby Ni zaidi ya yeyote pale Liver
 
Kuna watu Kama hamuelewi Boby kumbukeni Ni Bado Sana kumlinganisha Jota na Boby

Boby Ni zaidi ya yeyote pale Liver
Mzee tunaongelea impact kwa sasa wewe unaleta historia. Kuna mtu asiyemjua Firmino humu?

The issue ni kwamba jamaa kadrop. Kawa very blunt. Mpira ni ushindani boss. Mtu akija akiku outperform unakaa benchi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…