Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapa Sasa ndio umuhimu wa Heddo unapohitajika. Kuna kitu sisi washabiki hatukioni kwa le captain,. Inajua captain Mara nyingi huwa anacontrol Ile tempo ya game, Haswa kwa zile back n wide passes zake. Amini tu mkuu angekuwepo Heddo tusingepigwa 7.
 
Kuku Kama kuku, kiama kinakuja

Kilio kitaanza kutawala jmoss mapema sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Liver 7

Baada ya kugalagazwa na wahuni wa villar Park sasa mnaenda kukutana na moto mwingine wa gesi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa Sasa ndio umuhimu wa Heddo unapohitajika. Kuna kitu sisi washabiki hatukioni kwa le captain,. Inajua captain Mara nyingi huwa anacontrol Ile tempo ya game, Haswa kwa zile back n wide passes zake. Amini tu mkuu angekuwepo Heddo tusingepigwa 7.
Mkuu kama Hendo atakua kiwango na ku offer zaidi ya hawa waliopangwa vs Villa basi kwenye derby acheze pamoja na Thiago..

YNWA
 
Hawa FSG na Glazer family inaonekana wanawaza tu faida kwao tu tangu mwaka 2017 kimya kimya wanafanya mipango kuwashawishi timu zingine kupunguza idadi ya klabu za ligi kuu kutoka 20 mpaka 18..

Pia wanafanya lobbying kufuta Community Cup na Carabao..

Pia wanafanya lobbying kupunguza kubadili upagaji wa kura EPL kutoka ilivyo sasa ambapo mamuuzi yote lazima timu 14 zipige kura ya ndio ili kufanya mabadiliko..one team one vote ndio ilivyo sasa...

Sasa FSG na Glazer family wana lobby maamuzi yawe yanafanywa kwa endapo kura za timu 6 kati ya hizi ambazo ni Liverpool, Manchester United, Manchester City, Chelsea, Arsenal, West Ham, Southampton, Everton na Tottenham watasema ndio..

Wana lobby pia waruhusiwe kuuza game right za kuonyesha mechi 6 kwa msimu nje ya Uingereza tofauti ni ilivyo sasa ambapo ni collective bargaining ya TV right mechi zote EPL.. Kwa hali hii usije shangaa tukaikosa EPL wenye kifurushi cha Compact...

Rick Parry naona anawasapoti..

Na mengine mengi..

Walianza na kuwapiga wafanya kazi furlough mashabiki wakaja juu wakanywea sasa naona full throttle kutala kubadili EPL mazima..

YNWA
 
This sounds like a Conspiracy theory to me

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
This sounds like a Conspiracy theory to me

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hio habari ndio ina trend na kwa vile mwezi huu kuna mkutano wa EPL naona hizi taarifa zimekuja wakati mwafaka..

Mkuu hawa FSG wapo kipesa zaidi..

Kwanza wapo sokoni kimkakati soon watakua worth £8bn endapo watafanikiwa kumuuzia mwazilishi wa Moneyball hisa kiasi...

YNWA
 
Naona Serikali ya Uingereza inawazuia , kwenye hii project yao ya Big Picture
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…