Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Absolutely
 
Henderson sawa! Lakini nawewe huwezi kumfananisha Fabinho na takataka hizo.
Hakuna Timu kwasasa isiyotamani kuwa na mchezaji aina ya Fabinho, au umeshasahau alivyomfanya Werner aonekane kama Molinga?
Hakuna timu isiyotamani kuwa na Kovacic tena cha kushangaza zaidi the worst Jorginho akiwa kwenye flop Arsenal wanaonyesha interest kumuhitaji.
 
Hakuna timu isiyotamani kuwa na Kovacic tena cha kushangaza zaidi the worst Jorginho akiwa kwenye flop Arsenal wanaonyesha interest kumuhitaji.
Swap na Guendouzi, kwa hela hatuwezi sajili mchezaji kutoka Chelsea kama bure sawa.
 
Mkuu ni mapema sana kusema EPL msimu huu inakuja Anfield ndio kwanza tuko game week 3.

Weka akiba ya maneno.
Hahaha mkuu Southern Highland nakusoma vyema nashukuru pia kwa ushauri wako...

Toka ametua Klopp mipango ni nafasi ya kwanza tu na hakuna kingine japo tumeishia kuipata mara 1 tu 2019-2020..

Ukishabikia Liverpool tuna msemo wetu kutoka kwa gwiji Bill Shankly "1st is 1st second is nothing" hio ndio mind set yetu..

Na upo sahihi ligi bado ipo wazi mno kila timu ina nafasi ya kushinda EPL..

YNWA
 
Tena roho ya Billy Shankly
 
Mimi kiukweli msimu huu siwaoni mkinyanyua kwapa EPL. Labda makombe mengine
 
Liverpool! Liverpool! Liverpool!

Hii sio Arsenal ya UNAI,msitegemee kitonga,Tupo kamili gado tofauti na mnavyofikiriaa.
 
Leo ndio leo... KAZI YA MWANAUME HAPEWI MVULANA...

Yaani leo LiverPumbu nikimpiga chache ni 2-0

#COYG
#COYG

FT: Looser fools 1-3 Arsenal
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…