Prince mimi
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 814
- 2,420
Liverpool HALISI
Tusisahau kuishangilia team leo
Matokeo yyt tuyakubali na tusitukane team
Tuwaache Liverpool maslahi watukane team
Huyo mwingine ndo cop halisi sasa, kwanza anahudhuria mara nyingi Anfield, anajua kuuchambua mpira utafikiri kazaliwa nao, yupo vzr, sasa wewe Mr. naniliu mpira unaangalia vibanda umiza kama mimi unajiita Liverpool halisi, si dhihaka hiyo?
Baada ya kuvunja daraja unajua Liverpool mechi inayofuata atakutana nanani?,sasa wewe endelea kujichekesha Liverpool akitoka darajani anakuja kukubaka wewe hadharani.Pigeni hao Mbwa darajani palepale. Vunja daraja. Sisi Kama Arsenal Tumekubaliana kubeba sururu na kila kifaa mtakachohitaji kuvunja daraja. Piga hao
Nzuri tu mkuuNilikuwa huko nimekaa sana ndiyo maana sikuwepo online,sasa merudi
Tumempiga Dr Mwakyembe,mdogo wangu Mlaghila kachukua
za siku mingi?
Kwahiyo tuseme wewe ulieko Nanjilinji unajua sana kuliko waliomsajili pale Merseyside, Liverpool, England?Ata sura yake inaonesha ni mchezaj wa kawaida
Tukutane baada ya mechiLeo jogoo ananyonyolewa manyoya chin ya daraja [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha chaliangu njoo Orlando tuangalie hii mechi.Hapo sijaona wa kutuzuia kushinda, twende hivi Salah tunamkabizi kwa mkata umeme Zouma, apo atembei, uyo Thiago haoana shaka Kante yupo, Mane kina dogo Christensen atafanya kazi yake vizuri, Bob tunajua kachoka uyo tunamwacha aruke ruke uwanjani ..mbele tayari. Kwa Fabihno app kuna Kovavic mzee wa viatu hakuna shaka hapo. Nyuma kabisa tunajua VVDna Allison nj vitobo ivyo Werner na Giroud wataleta tabu ya kutosha na kusababisha penati za kutosha japo sisi tutapenda kuwapiga goli za uwakika hatutaki mbeleko.
Mpira utaisha hivi
Chelsea 3 - Liverpool 1 au 2 kama Salah atapata penati.
#CFC💙💙💙
Jiandae kulala bila chupi jioni ya leo,mwanaume anakuja hapo darajani lazima uachie.Angalia jinsi unavyoropoka ujinga. Kesho ndo utajua hujui
Mbona povu mzee huo ndo ukweli mmejaza mapancha mengi sehemu moja hayawezi kuelewana.Angalia jinsi unavyoropoka ujinga. Kesho ndo utajua hujui
Na ndo maana hujawa kocha weweHella ya jota ni bora wangenunulia Werner, hella nyingi mchezaji wa benchi, upuuzi mtupu
Mou alishapitwa na wakati, sidhani kama atadumu hata misimu miwili paleMorinho kesha anza timbwili lake huko Alli akipata sapot ya wachezaji 4 tu kitanuka kwake ha ha haaa
Mbona beki zitatoka vumbi mpka kwenye kope ila ox asiuzweWolves are eyeing an ambitious move for Liverpool midfielder Alex Oxlade-Chamberlain.
Mara pap anatua baunsa huku Ox akielekea Wolverhampton...
YNWA
Umekariri mzeeMou alishapitwa na wakati, sidhani kama atadumu hata misimu miwili pale
Morinho kesha anza timbwili lake huko Alli akipata sapot ya wachezaji 4 tu kitanuka kwake ha ha haaa
Mbona beki zitatoka vumbi mpka kwenye kope ila ox asiuzwe
Bookies wanasema hafiki DecemberMou alishapitwa na wakati, sidhani kama atadumu hata misimu miwili pale