Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Maana yake ni tim kubwa zitakuja kumbeba akiendelea kuperformHivi hii imekaa aje ndugu maana kimshahara kwa wiki Sterling, Pogba, KDB, Ozil, Degea nk wapo juu ya Salah..
YNWA
Maana yake ni tim kubwa zitakuja kumbeba akiendelea kuperformHivi hii imekaa aje ndugu maana kimshahara kwa wiki Sterling, Pogba, KDB, Ozil, Degea nk wapo juu ya Salah..
YNWA
Huyu ni wa hapa hapa hao Barcelona wale kona...Maana yake ni tim kubwa zitakuja kumbeba akiendelea kuperform
Hii namba nlivyo ona hajaivaa Faby nikajiaminisha lazima aje yep mwenyewe ham yake ni Liverpool tuThiago Tayari ni mchezaji wa Liverpool na atavaa jezi namba 6
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwani huyo Sarr ni sraika?Sorry, kuna watu wanaamini kuwa kwa kuwa Mane ni mSenegali eti Sarr naye atafikia uwezo wa Mane kwa kuwa tu wote wanatoka senegali. Hii inanikumbusha Devid Moyes alivyopewa United aiongoze kama kocha eti tu kwa kuwa na ni mscotch Kama ilivyokuwa kwa mzee Ferguson. Kama tunataka kuingia seriously kwenye usajili tutafute strike mwenye uwezo wa ku offer at list goal 20 kwa msimu. Pale ufaransa wapo na bei ni rafiki pia.
Hamuishi malalamiko!!!!! firmino ni false no 9.anatumika kama playmaker pale mbele so kama unapata ushindi tulia hivyohivyo usijiguseUongo mbaya! Ndio tumeshampata Thiago lakini hii striker yetu Firmino inaenda kuwa jipu lingine huu msimu
kwani kuna sehemu nimesema Firnino sio false 9?Hamuishi malalamiko!!!!! firmino ni false no 9.anatumika kama playmaker pale mbele so kama unapata ushindi tulia hivyohivyo usijiguse
kwa jinsi nilivyoi assess backline yetu kwenye hizi games za karibuni, inahitaji protection zaidi kutokea kwenye engine room.... so I'll go for the double pivot option with Fabinho & Thiago providing the much needed protection at the base of the triangle capitalising on Thiago's play-making ability from deep.
Ook... For double pivot ya hao jamaa ili inoge zaidi we need ball carrier akae kwa mbele awe link kati yao na front 3..Keita is the perfect candidate.. But for Chelsea i would go with Gini.. Niliona gemu ya Les Blues na jamaa sasa with pace ya Timo wanapiga counter muda wote so Keita hanaga mbio that why game hii aanzie benchi....kwa jinsi nilivyoi assess backline yetu kwenye hizi games za karibuni, inahitaji protection zaidi kutokea kwenye engine room.... so I'll go for the double pivot option with Fabinho & Thiago providing the much needed protection at the base of the triangle capitalising on Thiago's play-making ability from deep.
in the diagram below, just look at the midfield structure, don't mind the names:
View attachment 1573004
Klopp puts his belief more on what he gathers from the preparatory training sessions than anything.... so, yes, i wouldn't be surprised akiwaanzisha Hendo & Milner because of that only.Ook... For double pivot ya hao jamaa ili inoge zaidi we need ball carrier akae kwa mbele awe link kati yao na front 3..Keita is the perfect candidate.. But for Chelsea i would go with Gini.. Niliona gemu ya Les Blues na jamaa sasa with pace ya Timo wanapiga counter muda wote so Keita hanaga mbio that why game hii aanzie benchi....
But with Klopp usishange ukamuona Hendo na Milner wakianza 🤓🤓🤓🤓
YNWA
Msije kula 5 mzeeTuwanyooshe ngapi weekend hii? Chagueni wenyewe
Starting Milner and Hendo will be suicidal vs new look Blues, mate even if they do wonders in training they aint ball carriers or at least Milner is but his legs are no longer that cool for a game of that calibre...Klopp puts his belief more on what he gathers from the preparatory training sessions than anything.... so, yes, i wouldn't be surprised akiwaanzisha Hendo & Milner because of that only.
am with you... but tell that to Klopp halafu umsikie atachokwambia... hahahaaa!Starting Milner and Hendo will be suicidal vs new look Blues, mate even if they do wonders in training they aint ball carriers or at least Milner is but his legs are no longer that cool for a game of that calibre...
Gaffer should go with Thiago Fabby Gini..
YNWA