Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Bodi imeamua kuanza na game mchekea ... No big game
Ivi hizi mechi 3 za kwanza walikusudia nini hawa Kenge? 😂😂
Woooow what's a starting piece of crack to kick off the league...
Dah hapo juu umemzungumzia Gnabry halafu unasema PSG anashinda poa mimi team Lewandowsk na wewe team Mbappe nina nitashindaFinali:
PSG 2 - 1 Bayern München
Hiyo ni favor kwetu, unahangaika na vigogo mapema kesi inaisha.
Hata kwenye kumalizia, round ya pili Tottenham na City tunamalizana nao mapema, Arsenal, Chelsea na United kuna interval nzuri tumepewa.
Ikitokea ligi inaisha kwa kukimbizana points, tunakuwa na easy games end of league.
Hahahahaa....Halafu wanatukanaga kwa kimombo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mwaka huu liverpool top 4 mtaitafuta bila mafanikio
Man city
Man u
Chelsea
Arsenal
Spurs
Liverpool
.
.
.
.
.
West brown