Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Thiago ni fundi haswaaaaaa...

Huyu Aouar sisi tumepeleka Guendouz na pesa na wamegoma, hao jamaa wanataka kuwapiga watu pesa ndefu
 
[emoji848] tuwe wapole tusikilizie hii biashara itafikia wapi, Ila sarakasi hazikosekani kwenye usajili.
 
Thiago ni fundi haswaaaaaa...

Huyu Aouar sisi tumepeleka Guendouz na pesa na wamegoma, hao jamaa wanataka kuwapiga watu pesa ndefu
Mkuu binafsi mkimkosa huyo ndogo basi aje kwetu huyu Thiago Kwangu bado sijashawishika na kasi ya EPL atakua ni mteja wa daktari mara kwa mara...

Kumtoa pale mjiadae maana Jean hua hana huruma kwenye biashara ni kichwa ngumu..

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…