Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
lampard ana kazi kubwa sana bado, anahitaji kipa, anahitaji beki, mshambuliaji duh........
 
Tunawambia mapema kabisa..

Ngao ya jamii mujipange ...

Allison kitobo kwa sasa, VVD keshaanza kujichokea, Salah Mane ndo ivyo tena ..mutaeleza izo tano mumetufungaje..

Kombe tuwasaidie na bado mutufunge??

#CFC
Kwhy chelsea, kazi yenu ni kusaidia timu nyingine kuchukua makombe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom