Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Awesome. Thank you too
 
Naombeni kujuzwa wachezaji wanaotakiwa na Liverpool na ambao. Wameachwa
Mkuu wachezaji wengi wanaotajwa na magazeti ya umbea majuu na hakika ni wengi mno maana kila kukicha.. Majina ambao wanatajwa mara kwa mara ni..
Adama Traore wa Wolves
Kalouibaly wa Napoli
Diago Jota wa Wolves
Neves wa Wolves
Maxmiliman wa Newcastle
Ake wa Bournemouth
Isamail Sarr wa Watford
Thiago wa Bayern Munich
Buendia wa Norwich
Barnes wa Leicester
Torres wa Valencia
Victor wa Lile
Diego wa Sevila
Countinho wa Barcelona
Mbappe wa PSG
Na wengine wengi tu

Wanaotarajia kuodoka ni
Pedro Chiravela
Harry Wilson
Yasser
Lallana
Shaqir
Lovren
Karius
Mane japo huyu mpaka waje Real ama PSG
Nk

Wanaotarajiwa kupandishwa rasmi kikosi cha kwanza ama kupata muda zaidi uwajani ni..
Curtis Jones
Neco Williams
Harvey Elliot
Rhian Brewster
Sepp van berg
Grujic

Mkuu kwa sasa ni kuvuta subira mpaka ligi inaanza tena baada ya siku 48 tutajua nani atabaki ama kusajiliwa.. Nawaamini Klopp na Edwards..

YNWA
 
Imagine... man utd fans anakuja kushangilia. jukwaa la liva [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Furaha waliyonayo ni kubwa kuliko hata sisi tuliobeba ubingwa
Kucheza "usiku wa mabingwa" raha sana ni haki yao kushangilia
Hahaha msimu ujao umekaa powa mno...

Top four msimu huu imekaa vizuri sana maana ni hao hao ndio watakaokimbizana kupata ubingwa EPL.. Hakuna ooh sisi tunacheza Alhamisi kusafiri nk wachezaji wanachoka sasa tutakua sawa...

Yajayo yanafurahisha 👻👻👻...

YNWA
 
Dah aiseeeeh yajayo yanaweza kufurahisha...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…