SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Keita ni majeruhi tu ndugu. That man is exceptional.We need changes kama kweli tunataka ku challenge Silverware Next season wachezaji kama Ox ,Keita, Origi hawa hawatakuja kuongezeka performance yao zaidi ya hii.
Ongezea na kunyooshwa nne kavu bila hurumaKlopp now is Top world class Manager
Amewin kila kitu akiwa na liver
FIFA World club champions
UEFA Champions
UEFA super cup
Epl
Tumsapoti kwa nguvu zote
Acha bangi mzee hazikufai,It won't means lots if hamtashinda ubingwa wa EPL in the next 4 decades and I'm sure hili litatokea.
Na yeye huko ananyooshwa na SOTON Huo ndio mpira nduguOngezea na kunyooshwa nne kavu bila huruma
Leo mbabe wenu kakamatwa huku!Ongezea na kunyooshwa nne kavu bila huruma
kweli kabisa
haya ni matusi aiseeSometime huwa nasema sisi ni Arsenal iliyichangamka
Dah!!!! Ngoja tuone lakini sidhani kama tutafikisha hizo point.Kati ya game 5 zilizobaki, ngumu ni ya Chelsea, ingawa nao wanafungika.
Tunahitaji 12 points kufika 101 points, tuvunje record ya City.
Dah!!!! Ngoja tuone lakini sidhani kama tutafikisha hizo point.
Mmmhhh,[emoji23][emoji23]Baada ya Invincible ya Arsenal 2003/4 na kumalizika kwa Timu yao Completely 2006 na Arsen Wenger akaanzisha project ya kuwekeza kwa Vijana ambapo alianza kuibuka na kina Welcot, Clichy, OX, Gibs n.k. nadhani unajua kilichotokea mpaka kufikia leo.
Barcelona kizazi cha LAMACIA ni Messi peke yake ndiye aliyejihakikishia Ustaa akiwa Mdogo! Hao kina XAVI, INIESTA, BISQUET, PIQUE walisubiri kina DECO, YAYA TOURE, MARQUEZ, RONALDINHO kuwapokea Wakongwe hao wakiwa tayari wameshapevuka.
Kwahiyo MAKOMBE yanahitaji Watu waliokomaa na siyo Vitoto vya U23
Timu ya vikongwe ni juve tu[emoji23][emoji23]mkuu, unaonaje wachezaji rika la wener, harvetz, na wenye uwezo kama huo wakaongezwa walau wawili..... utakua na mashaka kuhusu future yetu?
mimi ninavo elewa unapokua peak ndio wakati wa kuongeza promising talents ili uweze kuwa intergrate na wale ambao umri wao unakimbia!.......
mistakes za wenger, technically hata Saf alifanya hizo hizo misimu yake ya mwisho, matokeo yake tunaona utd wakalazimika kujenga upya timu, same kwa asernal...... na sisi tukitegemea wachezaji wa umri ule wa thiago aisee i'm afraid tutakua hatarini