Tunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika miaAdrian alisaini miaka miwili japo kuna timu zimeonyesha kumhitaji kwao Spain..
Karius nae amerejea mazima...
Yupo ndogo mmoja kipa kutoka Uturuki Klopp alikua anamnyatia sasa itagemea kama Karius ataodoka ama Adrian...
Hivyo kwa dirisha hili sidhani kama kipa ni priority sana kwa Klopp...
Pazuri ni kwamba ukuta kuna uwezekano ukaimarishwa aisee maana kua na mapancha watu in Gomez, Matip na Lovren ni jipu ndugu... Hapo Lovren ndio major culprit he is addicted and prone to costly mistakes...
YNWA
Tunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika mia
Yale mashoot ya morata wewe ungeweza kudaka, ATM yale majamaa ni shidaTunahitaji makipa wenye kiwango wa kumsaidia Becker in case kaumia au kapigwa kadi, aisee kutegemea hawa mapazia kama backup kisa unaukuta imara sio sahihi kabisa, gemu ya ATM beki yetu ilipambana dakika mia kumlinda Adrian, lkn pazia letu likaja likatumia dakika kumi kuharibu kazi iliyofanywa na beki kwa dakika mia
Siyo kitu rahisi lkn kinawezekana mkuu naona karibia timu zote kubwa zina makipa wa backup wenye kiwango karibia sawa na ma-starter kasoro tu Liverpool tumezidiwa hadi na TottenhamSiyo kitu rahisi kuwa na kipa mzuri halafu awe backup.
Tofauti na mchezaji wa ndani, ukiwa backup unaweza kukaa hata msimu mzima hujacheza, especially kwenye ligi na UEFA kama kipa namba moja hajaumia.
Ukiacha mechi dhidi ya Atletico, Adrian alijitahidi sana, ni Bora yeye mara elfu kuliko Karius,Siyo kitu rahisi lkn kinawezekana mkuu naona karibia timu zote kubwa zina makipa wa backup wenye kiwango karibia sawa na ma-starter kasoro tu Liverpool tumezidiwa hadi na Tottenham
Ni wivu tu,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Ubingwa wa hovyo kabisa ambao haujawahi kutokea duniani
Hivi kuna raha gani kuchukua ubingwa mpo lockdown +barakoa mdomoni ,hakuna mashabiki, sasa sijui ni nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gundu bado lipo nyuma yenu,
KeleeeeeeeeeeeekeleeeeeeeeeePIGA KELELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Cr7 ni binadamu mwingine usifananishe na uyo mwarabu ..
Mbona Zidane ni MuarabuCr7 ni binadamu mwingine usifananishe na uyo mwarabu ..
Duh!Nimekuja kutoa pongezi kwa Liverpool kwa kutwaa Ubingwa wa EPL
Hakika mlistahili
Tunaomba mtuwahishie Zile add ons za Ox. Tunataka kuongezea kumchukua Partey kama usajiri wetu wa kwanza .
HONGERENI KOPITIES , HONGERA KWA JURGEN KLOPP
Nimekuja kutoa pongezi kwa Liverpool kwa kutwaa Ubingwa wa EPL
Hakika mlistahili
Tunaomba mtuwahishie Zile add ons za Ox. Tunataka kuongezea kumchukua Partey kama usajiri wetu wa kwanza .
HONGERENI KOPITIES , HONGERA KWA JURGEN KLOPP