Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwa


Kila mtu ashinde match zake


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado everton anakuja kuwa showwwwwwwww
Fala wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nyie kuku mnategemea arsenal awaletee ubingwa


Kila mtu ashinde match zake


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado everton anakuja kuwa showwwwwwwww
Mkuu kwenye mpira kunakuwaga na ma sapraizi ya hatareee... Citi huyu huyu na ubora wake alikaa kwa Norwich hivyo hata Gunners wangeweza tu kumkalisha...

Nwa hapo sawa kila timu ishinde mechi zake na hicho ndio kimenifikisha hapa ndugu, msimu huu sijatarajia wengine wanichapie washindani wangu mie napiga tu...

Everton wale utulie wanapigwa ndugu...

Ubingwa waja hapa wanachelewesha ila mpaka naamini hata kikombe chenyewe kimeshaadikwa Liverpool Champions season 2019-2020..

YNWA
 
vvd ata Chelsea walimtaka ila bei ake ilikuw juu
 
Kasahau huyo man city na chelseaa walielekea kufika bei jamaa ndo akaweka wazi anataka Liverpool nguvu zikawaishia ikawarahisi kwetu dirisha dogo
Onesha ni wapi aliweka wazi ..kama tungekaza angetua chelsea uyo..

Ata ivyo soon udavid luiz unamvizia..

CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…