Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa mambo ya korona yanavyoharibu uchumi wa klabu nyingi. Yusitegemee mkubwa kwenye usajili.
Anorld and William kama back up
Lallana anasepa but minamino tayari kaingia.
Milner atabaki back up ya Robertson
Van de berg atapandishwa au kijana kuziba nafasi ya lovren akiuzwa
Elliot nae atapandishwa
Wilson Woodburn watauzwa au mmoja wao.
Grujic a naweza kurudishwa kundini kwa ajilia ya kujazilia timu.
Origi atabaki msimj mwingine kama back up ya firminho.
NI bahati Sana akisajili mtu July.
Kama last year tu ambako alitumia £1.

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Liver anachukua ubingwa wa epl, ila nimefurahi sana ubingwa huu utakuwa ndio ubingwa wa kinyonge sana kuwahi kutokea. Mnakabidhiwa kombe kwenye empty stadium, na hamna street parade kusherehekea. Yaani mkipewa kombe straight linaenda kabatini.
Korona ni mpango wa Mungu.
 
Liver anachukua ubingwa wa epl, ila nimefurahi sana ubingwa huu utakuwa ndio ubingwa wa kinyonge sana kuwahi kutokea. Mnakabidhiwa kombe kwenye empty stadium, na hamna street parade kusherehekea. Yaani mkipewa kombe straight linaenda kabatini.
Korona ni mpango wa Mungu.
Wewe......Nenda kachukue Buku 7000 zako pale Lumumba hauna ulijualo kwenyye soka.
 
Liver anachukua ubingwa wa epl, ila nimefurahi sana ubingwa huu utakuwa ndio ubingwa wa kinyonge sana kuwahi kutokea. Mnakabidhiwa kombe kwenye empty stadium, na hamna street parade kusherehekea. Yaani mkipewa kombe straight linaenda kabatini.
Korona ni mpango wa Mungu.
Kikubwa kombe asei
 
Wewe......Nenda kachukue Buku 7000 zako pale Lumumba hauna ulijualo kwenyye soka.
Mimi sio shabiki wa kelele na kucheza mpira mdomoni tu, bado napiga ndondo. Naujua mpira sio wa mdomoni tu kama wewe.
 
Liverpool will continue to wear a New Balance-manufactured kit for the remainder of the 2019-20 season after agreeing to delay the start of their deal with Nike until August.

Nike had been set to replace New Balance as Liverpool's kit supplier on May 31, but with the Premier League season set to continue to late July because of the coronavirus pandemic, all three parties have agreed to the change of terms.

YNWA
 
Liver anachukua ubingwa wa epl, ila nimefurahi sana ubingwa huu utakuwa ndio ubingwa wa kinyonge sana kuwahi kutokea. Mnakabidhiwa kombe kwenye empty stadium, na hamna street parade kusherehekea. Yaani mkipewa kombe straight linaenda kabatini.
Korona ni mpango wa Mungu.
Tuliopo hapa ni full shangwe man hivyo hayo ya parade kwa sasa hayatuhusu ndugu....

Its coming home barafuyamoto,.. Come corona come sunshine come rain...

YNWA
 
Hivi Mimi Kuna issue imenishinda je? Nikwamba tutmemuacha kabisa winner au? Mana sielewi chochote mpaka nw?
 
Hivi Mimi Kuna issue imenishinda je? Nikwamba tutmemuacha kabisa winner au? Mana sielewi chochote mpaka nw?
BEC67FE5-9E37-447A-AB47-3AC9D4D74409.jpeg
Imeniuma sana kumkosa huyu mchezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom