Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Double standard....Hahah
kuna group moja wanasema FA ifute ligi ianze upya ukiwauliza na uefa je ifutwe?
wanakuambia mlishatolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
EPL itamalizika vinginevyo timu nyingi zinafilisika Kwa kuwa wadhamini wengi wanaomba refund ya pesa zao walizotoa msimu huu na hakuna timu ipo tayari kurejesha hizo pesa na ibakie salama....
Muda utasema...
Kwa sasa mpira is the least important issue cha muhimu ni afya ya wachezaji wetu wote wawe wazima ili siku EPL ikirejea wawe tayari Kwa mapambano kutuletea 19th trophy...
YNWA


