Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Mwenye bahati habaatishi hili la liver n wape pole tuu na msimu ujao unavyoonekana utakuwa mgumu niwape pole Majogoo wa sokoni Yan n kuliwa tuu
Naunga mkono hoja, afya za watu ni bora kuliko michezo na ifutwe tu kwakweli, sisi mashabiki wa liver tumeridhia kwa pamojaLigi ivunjwe tuanze upya hapo haki itapatikana. Na tukumbuke corona haijaitwa na mtu Ni janga lililoibuka ghafla tu
Nyie liverkuku mna gundu mkaoge bahari ya hindi, alhamisi wakuu wa FA/Club wanakutana kupiga kura mapendekezo kadhaa either ligi ifutwe pasiwe na bingwa au nini kifanyike, sasa mnafikiri kwenye kura si jogoo atachinjwa nani anawataka ninyi?Just imagine wachezaji tuliokuwa tunawaita mentality monsters, wamepigana wakiwa na Uhakika wa kutimiza ndoto ya miaka 30, then unawaambia juhudi zenu ni useless.. Yani Sisi ndio tutakuwa timu isiyokuwa na hari kuliko zote kama option ya kufuta msimu itakuwepo
Nyie liverkuku mna gundu mkaoge bahari ya hindi, alhamisi wakuu wa FA/Club wanakutana kupiga kura mapendekezo kadhaa either ligi ifutwe pasiwe na bingwa au nini kifanyike, sasa mnafikiri kwenye kura si jogoo atachinjwa nani anawataka ninyi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesterday I saw Manure Fanboy n he told me the FA must declare EPL null and void! Si ninajuwa kuwa jamaa ni Fan wa Simba SC kuna Fanboy wa Vyura FC akamwambia VPL must be cancelled and next season tuanze upya!
Ah jamaa wa Manure alitaka kupigana huyo ππ
Anasema Ligi lazima iendelee ili Simba awe bingwa kwani Simba yupo karibu na kutwaa ubingwa ππ
But at the sametime mshabiki huyu anaetaka Ligi ya Tanzania iendelee ili Simba awe bingwa! Ndiye huyuhuyu anayetaka EPL ifutwe kwasababu ya Corona ππ
Ujinga ni kitu kibaya sana!
mbona kama povuArsenal wanataka Ligi ifutwe kabisa
Arsenal wanataka Wacheze UEFA next season kwa position ya msimu uliopita.
Hapo ndiyo kituko cha Arsenal Fanboys kinapoanzia.
Umeona wapi kusiwepo na Ligi lakini kuwe na UEFA?
UEFA si wajinga kiasi hicho! Unadhani hao Manure wanaoshabikia Ligi ifutwe wakija wakiioona Arsenal inacheza Uefa wakati Ligi haikumaliza watakubali? Watakata Rufaa FIFA.
Sheffield na Spurs pia hawatokubali kwani Watalalamika Ligi haikuisha na Nafasi walikuwanayo ya kuweza kupambania kucheza Uefa.
Kiufupi Ligi ikufutwa Mataifa yote yaliyokamilisha Ligi zao basi watacheza CL na Uropa lakini Timu za EPL hazotoshiriki michuano ya UCL wala Uropa kwa msimu unaokuja.
Sote tutaungana na Man City kutumikia Ban
ahsante kwa matusi yako ila punguzeni povu wazee.......Arsenal wanataka kuvuna wasipopanda. Eti wacheze UEFA kwa sababu walikuwa namba 5 last season.
Hawa jamaa utakuta na akili za viongozi wao ni kama hizi hizi tu.
hata mimi naunga mkono hili.Naunga mkono hoja, afya za watu ni bora kuliko michezo na ifutwe tu kwakweli, sisi mashabiki wa liver tumeridhia kwa pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
huku bongo hakuna Corona mzee, taja hapa kocha au mchezaji wa kibongo mwenye Corona????Yesterday I saw Manure Fanboy n he told me the FA must declare EPL null and void! Si ninajuwa kuwa jamaa ni Fan wa Simba SC kuna Fanboy wa Vyura FC akamwambia VPL must be cancelled and next season tuanze upya!
Ah jamaa wa Manure alitaka kupigana huyo ππ
Anasema Ligi lazima iendelee ili Simba awe bingwa kwani Simba yupo karibu na kutwaa ubingwa ππ
But at the sametime mshabiki huyu anaetaka Ligi ya Tanzania iendelee ili Simba awe bingwa! Ndiye huyuhuyu anayetaka EPL ifutwe kwasababu ya Corona ππ
Ujinga ni kitu kibaya sana!
ifutwe tu, hakuna namna maana sio kwa hili gunduDuh! Mkuu kama kuna mahali nimetukana naomba unisamehe.
Ligi itafutwa na mtacheza UEFA, sawa eeh!
huu ni ushabiki tu mzee na utani wa hapa na pale ila kiuhalisia yawapasa mpewe kombe lenu hakika hiyo wala haina ubishi,Sawa imefutwa.
huu ni ushabiki tu mzee na utani wa hapa na pale ila kiuhalisia yawapasa mpewe kombe lenu hakika hiyo wala haina ubishi,
.
Na hongereni kwa kukaribia kuchukua hili taji kwa mara ya kwanza tangu lianzishwe.... [emoji2187][emoji2187][emoji2187][emoji2187]
Sent using Jamii Forums mobile app
"Mara ya kwanza tangu lianzishwe." - hapa unamaanisha nini? Sema mara ya kwanza tangu libadilishwe jina sio lianzishwehuu ni ushabiki tu mzee na utani wa hapa na pale ila kiuhalisia yawapasa mpewe kombe lenu hakika hiyo wala haina ubishi,
.
Na hongereni kwa kukaribia kuchukua hili taji kwa mara ya kwanza tangu lianzishwe.... [emoji2187][emoji2187][emoji2187][emoji2187]
Sent using Jamii Forums mobile app
ubingwa utachelewa tu.Mpaka hiyo aprili tatu kama wachezaji wagonjwa wa COVID-19 watakuwa wengi sidhani kama huu msimu hautafutwa hivyo kuzuia ubingwa wetu
sasa kwa maneno yako ya khanga yale hata kama unatumia akili ya kawaida tu yanahitaji hoja gani kujibu?Origin ya neno Povu ni msamiati wa watu wa aina flani kudhoofisha wengine pale wanapoona post wasiyoweza kuijibu kwa kutumia hoja. ππ
Eneywey Ligi isipofutwa sijui Arsenal Fans mutakimbilia wapi coz hata Uropa msimu ujao hamitocheza π