kisicho riziki hakiliki.kama hil swala la kuiskip hii EPL2019/2020 litafanikiwa basi hii itakuwa ni dhambi hata kwa mungu na yatakuwa maamuzi magumu sanaa.lkn pia hili litapelekea matatizo kwa baadhi ya fan wa lfc na binafsi mimi kama mimi litanidestroy hata mentality ya kuifuatilia EPL kwa morali,maana itakuwa haina maana kama tumefikia ndoto yetu within a 30 yr afuu uje utuletee hoja nyepec kbs .
Kwann isiwe UEFA,LA LIGA,SERIE A,LEAGUE 1???
UEFA ipi?Huu wa kwanza ukifikiwa si arsenal tunaenda uefa!!!! Upo poa sana huu
Kwa hiyo ataenda nyumbu auUEFA ipi?
Ya mtaa au wilaya?
Why asiende?Kwa hiyo ataenda nyumbu au
Wewe last season ulimaliza wa ngapi hadi uende?Why asiende?
Uamuzi wa kuvunja ligi au kuishia hapa na kuwapa Liverpool ubingwa ndio utakaopigia kura alhamisi ya wiki hiiMaamuzi ya kwanza ndio maamuzi bora kabisa.
Nipo pamoja na uyo mama wa West Ham ..
Mikakati inaendelea..
#CFC[emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaenda Arsenal coz alimaliza 5th placeUEFA ipi?
Ya mtaa au wilaya?
Labda UMISETAAnaenda Arsenal coz alimaliza 5th place
hapo mwishoni hata mimi nahisi hivyo, kuna mchezo wanaucheza japo sijui mchezo gani!........Leo asubuhi nimegundua kuwa mgonjwa wa Corona wa Mount Meru ni Rafiki yangu wa karibu,
Alitoka nje kutembelea family friend kumbe baba wa hiyo familia alikuwa na virusi.
Anadai alihisi ameupata tangu akiwa kwenye ndege na alipofika Arusha alienda hotelini moja kwa moja wala hakutaka kwenda kwake na ni karibu tu hapa mjini. Asubuhi ya jana akaamua kujipeleka Mt. Meru Hospital kupimwa na ndipo wakamkuta ana virusi.
Anadai huu ugonjwa umekuzwa sana kwa sababu yeye anajisikia vizuri anachosubiri ni hayo mafua yaishe ili arudi nyumbani kwake
Watanzania tusihofu haya ni mafua ya kawaida lakini yanashambulia mapafu na kusababisha Neumonia na sio kwa watu wote, ni baadhi, wachache tu wanapata Neumonia na akichelewa kutibiwa anaweza fariki kwa sababu Neumonia inaua
Ukijisikia una dalili za hayo mafua, nenda ukapimwe na utibiwe Neumonia kama imekuingia, otherwise huu ni ugonjwa wa mafua ya kawaida tu
Imekuzwa sana kwa sababu imepitia kwa wazungu wenye rich media za kuutangazia ulimwengu mzima
Ninahisi pia kuna kamchezo nyuma ya pazia inachezwa na hao wakubwa
Anaenda Arsenal coz alimaliza 5th place
Arsenal wanataka Ligi ifutwe kabisa
Arsenal wanataka Wacheze UEFA next season kwa position ya msimu uliopita.
Hapo ndiyo kituko cha Arsenal Fanboys kinapoanzia.
Umeona wapi kusiwepo na Ligi lakini kuwe na UEFA?
UEFA si wajinga kiasi hicho! Unadhani hao Manure wanaoshabikia Ligi ifutwe wakija wakiioona Arsenal inacheza Uefa wakati Ligi haikumaliza watakubali? Watakata Rufaa FIFA.
Sheffield na Spurs pia hawatokubali kwani Watalalamika Ligi haikuisha na Nafasi walikuwanayo ya kuweza kupambania kucheza Uefa.
Kiufupi Ligi ikufutwa Mataifa yote yaliyokamilisha Ligi zao basi watacheza CL na Uropa lakini Timu za EPL hazotoshiriki michuano ya UCL wala Uropa kwa msimu unaokuja.
Sote tutaungana na Man City kutumikia Ban