Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

MASHABIKI wa Liverpool hebu msikieni huyu Makamu Mwenyekiti wa West Ham, Karren Brady anasema eti! kama janga la virusi vya corona halitapatiwa ufumbuzi basi msimu huu ufutwe na matokeo yote ya 2019-20 yasitambulike.
Yaani anachomaanisha huyu mama ni kuwa licha ya Liverpool kuhitaji mechi mbili tu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England ikitokea janga la virusi vya corona limekosa uvumbuzi basi kila kitu kianze upya msimu ujao.
Tayari, Ligi Kuu England imesimamishwa kwa wiki tatu hadi angalau Aprili 3 baada ya kocha wa Arsenal, Mikel Arteta na winga wa Chelsea, Callum Hudson - Odoi kukutwa na virusi vya corona.
Sasa Karren ameibuka na kudai kuwa kama janga hili halitapata ufumbuzi basi hakuna namna zaidi ya kuuvunja jumla msimu na kufuta matokeo yote, kisha kuanza upya mara baada ya hali ya mambo kutulia.
Kama mabosi wa Ligi Kuu England wamkisikiliza Karren basi ndoto za Liver kubeba taji lake la kwanza la Ligi hiyo katika kipindi cha miaka 30 itakufa na pia hata klabu za Daraja la Kwanza ambazo zilikuwa na nafasi ya kupanda pia zitabaki chini na kusubiri msimu mwingine.
Lakini, kwa Karren uamuzi huo utainufaisha klabu yake kwa sababu kwa sasa West Ham inashika nafasi ya 16, ikiwa juu ya mstari wa kushuka daraja kwa tofauti ya magoli tu, hivyo anakomaa kwa sababu anaamini hilo litakiokoa kikosi chake.
Karren alisema; "Kusimamishwa au kufutwa ni ligi jambo lililowazi, hatuwezi kukwepa ukweli kuwa kuna uwezekano ligi katika ngazi zote pamoja na Ligi Kuu zinaweza kufutwa na kila kitu kuhusu msimu huu kikafutwa pia kama wachezaji hawezezi kucheza soka ligi haiwezi kuendelea.
"Ligi Kuu England inaamini kuwa baada ya wiki tatu mambo yanaweza kurudi sawa, lakini hiyo inaweza kuwa ndoto, hivyo itakuaje kama ligi haitaisha? Wakati huu ambao mechi kote katika Ligi Kuu na Ligi Daraja la kwanza zimeathiriwa, kitu pekee cha kiungwana na busara cha kufanya ni kufuta msimu mzima."
Karren anadai kuwa kama Ligi ikishindwa kumalizika jambo pekee la busara la kufanywa ni kufuta msimu mzima, japokuwa anakiri kuwa Liverpool haitakuwa imetendewa haki, lakini hakuna namna kwa sababu hakuna aliyetarajia hili litatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namuunga mkono.
Pia itakuwa kumbukumbu kwa vizazi kuhusiana na jangahili la Covid-19 "corona".

Team zote zimesha athirika kisaikolojia na halihaiwezikuwa yakawaida hata kama ugonjwa utakuwa umekwisha baada ya hizo wiki 3 ama mwezi, kituambaho hakiwezekani mana ndio kwanza ugonjwa umeanza.
MASHABIKI wa Liverpool hebu msikieni huyu Makamu Mwenyekiti wa West Ham, Karren Brady anasema eti! kama janga la virusi vya corona halitapatiwa ufumbuzi basi msimu huu ufutwe na matokeo yote ya 2019-20 yasitambulike.
Yaani anachomaanisha huyu mama ni kuwa licha ya Liverpool kuhitaji mechi mbili tu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England ikitokea janga la virusi vya corona limekosa uvumbuzi basi kila kitu kianze upya msimu ujao.
Tayari, Ligi Kuu England imesimamishwa kwa wiki tatu hadi angalau Aprili 3 baada ya kocha wa Arsenal, Mikel Arteta na winga wa Chelsea, Callum Hudson - Odoi kukutwa na virusi vya corona.
Sasa Karren ameibuka na kudai kuwa kama janga hili halitapata ufumbuzi basi hakuna namna zaidi ya kuuvunja jumla msimu na kufuta matokeo yote, kisha kuanza upya mara baada ya hali ya mambo kutulia.
Kama mabosi wa Ligi Kuu England wamkisikiliza Karren basi ndoto za Liver kubeba taji lake la kwanza la Ligi hiyo katika kipindi cha miaka 30 itakufa na pia hata klabu za Daraja la Kwanza ambazo zilikuwa na nafasi ya kupanda pia zitabaki chini na kusubiri msimu mwingine.
Lakini, kwa Karren uamuzi huo utainufaisha klabu yake kwa sababu kwa sasa West Ham inashika nafasi ya 16, ikiwa juu ya mstari wa kushuka daraja kwa tofauti ya magoli tu, hivyo anakomaa kwa sababu anaamini hilo litakiokoa kikosi chake.
Karren alisema; "Kusimamishwa au kufutwa ni ligi jambo lililowazi, hatuwezi kukwepa ukweli kuwa kuna uwezekano ligi katika ngazi zote pamoja na Ligi Kuu zinaweza kufutwa na kila kitu kuhusu msimu huu kikafutwa pia kama wachezaji hawezezi kucheza soka ligi haiwezi kuendelea.
"Ligi Kuu England inaamini kuwa baada ya wiki tatu mambo yanaweza kurudi sawa, lakini hiyo inaweza kuwa ndoto, hivyo itakuaje kama ligi haitaisha? Wakati huu ambao mechi kote katika Ligi Kuu na Ligi Daraja la kwanza zimeathiriwa, kitu pekee cha kiungwana na busara cha kufanya ni kufuta msimu mzima."
Karren anadai kuwa kama Ligi ikishindwa kumalizika jambo pekee la busara la kufanywa ni kufuta msimu mzima, japokuwa anakiri kuwa Liverpool haitakuwa imetendewa haki, lakini hakuna namna kwa sababu hakuna aliyetarajia hili litatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MASHABIKI wa Liverpool hebu msikieni huyu Makamu Mwenyekiti wa West Ham, Karren Brady anasema eti! kama janga la virusi vya corona halitapatiwa ufumbuzi basi msimu huu ufutwe na matokeo yote ya 2019-20 yasitambulike.
Yaani anachomaanisha huyu mama ni kuwa licha ya Liverpool kuhitaji mechi mbili tu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England ikitokea janga la virusi vya corona limekosa uvumbuzi basi kila kitu kianze upya msimu ujao.
Tayari, Ligi Kuu England imesimamishwa kwa wiki tatu hadi angalau Aprili 3 baada ya kocha wa Arsenal, Mikel Arteta na winga wa Chelsea, Callum Hudson - Odoi kukutwa na virusi vya corona.
Sasa Karren ameibuka na kudai kuwa kama janga hili halitapata ufumbuzi basi hakuna namna zaidi ya kuuvunja jumla msimu na kufuta matokeo yote, kisha kuanza upya mara baada ya hali ya mambo kutulia.
Kama mabosi wa Ligi Kuu England wamkisikiliza Karren basi ndoto za Liver kubeba taji lake la kwanza la Ligi hiyo katika kipindi cha miaka 30 itakufa na pia hata klabu za Daraja la Kwanza ambazo zilikuwa na nafasi ya kupanda pia zitabaki chini na kusubiri msimu mwingine.
Lakini, kwa Karren uamuzi huo utainufaisha klabu yake kwa sababu kwa sasa West Ham inashika nafasi ya 16, ikiwa juu ya mstari wa kushuka daraja kwa tofauti ya magoli tu, hivyo anakomaa kwa sababu anaamini hilo litakiokoa kikosi chake.
Karren alisema; "Kusimamishwa au kufutwa ni ligi jambo lililowazi, hatuwezi kukwepa ukweli kuwa kuna uwezekano ligi katika ngazi zote pamoja na Ligi Kuu zinaweza kufutwa na kila kitu kuhusu msimu huu kikafutwa pia kama wachezaji hawezezi kucheza soka ligi haiwezi kuendelea.
"Ligi Kuu England inaamini kuwa baada ya wiki tatu mambo yanaweza kurudi sawa, lakini hiyo inaweza kuwa ndoto, hivyo itakuaje kama ligi haitaisha? Wakati huu ambao mechi kote katika Ligi Kuu na Ligi Daraja la kwanza zimeathiriwa, kitu pekee cha kiungwana na busara cha kufanya ni kufuta msimu mzima."
Karren anadai kuwa kama Ligi ikishindwa kumalizika jambo pekee la busara la kufanywa ni kufuta msimu mzima, japokuwa anakiri kuwa Liverpool haitakuwa imetendewa haki, lakini hakuna namna kwa sababu hakuna aliyetarajia hili litatokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana Liverpool fans kwa maoni yangu haya
Ifutwe tu ili Samata abakie EPL msimu ujao
Uzalendo kwanza
 
Poleni sana Liverpool fans kwa maoni yangu haya
Ifutwe tu ili Samata abakie EPL msimu ujao
Uzalendo kwanza

Why Spain, Italy, Germany and France hakuna hizi kauli za kufutwa Ligi zao Bali ni Uengereza tu ndiyo wanapambania Ligi ifutwe?

Kama shida ni Liverpool kuongoza Ligi kwanini Vilabu vyote visishirikiane kupiga kura ya kufutwa Club ya Liverpool tu ili Ligi iendelee bila ya kuathiri Vilabu vyengine kama Leeds United ambayo inategemea kucheza Premier League next season? Coz Leeds huenda nafasi ya kupanda mwaka huu asiipate tena!

Ivi angelikuwa anaongoza Mume wenu Manure Vilabu vyenu Vingeng'ang'ania Ligi ifutwe?
 
Why Spain, Italy, Germany and France hakuna hizi kauli za kufutwa Ligi zao Bali ni Uengereza tu ndiyo wanapambania Ligi ifutwe?

Kama shida ni Liverpool kuongoza Ligi kwanini Vilabu vyote visishirikiane kupiga kura ya kufutwa Club ya Liverpool tu ili Ligi iendelee bila ya kuathiri Vilabu vyengine kama Leeds United ambayo inategemea kucheza Premier League next season? Coz Leeds huenda nafasi ya kupanda mwaka huu asiipate tena!

Ivi angelikuwa anaongoza Mume wenu Manure Vilabu vyenu Vingeng'ang'ania Ligi ifutwe?
Haha mkuu etu mume wao
 
Why Spain, Italy, Germany and France hakuna hizi kauli za kufutwa Ligi zao Bali ni Uengereza tu ndiyo wanapambania Ligi ifutwe?

Kama shida ni Liverpool kuongoza Ligi kwanini Vilabu vyote visishirikiane kupiga kura ya kufutwa Club ya Liverpool tu ili Ligi iendelee bila ya kuathiri Vilabu vyengine kama Leeds United ambayo inategemea kucheza Premier League next season? Coz Leeds huenda nafasi ya kupanda mwaka huu asiipate tena!

Ivi angelikuwa anaongoza Mume wenu Manure Vilabu vyenu Vingeng'ang'ania Ligi ifutwe?
Hahahahahahahahah Mume wao.
 
Why Spain, Italy, Germany and France hakuna hizi kauli za kufutwa Ligi zao Bali ni Uengereza tu ndiyo wanapambania Ligi ifutwe?

Kama shida ni Liverpool kuongoza Ligi kwanini Vilabu vyote visishirikiane kupiga kura ya kufutwa Club ya Liverpool tu ili Ligi iendelee bila ya kuathiri Vilabu vyengine kama Leeds United ambayo inategemea kucheza Premier League next season? Coz Leeds huenda nafasi ya kupanda mwaka huu asiipate tena!

Ivi angelikuwa anaongoza Mume wenu Manure Vilabu vyenu Vingeng'ang'ania Ligi ifutwe?
Wala usipaniki, hakuna mtu atafuta ligi, media za Uingereza wanatumia fursa hii kuuza habari.
Watakachoamua wiki ijayo ni kuahirisha ligi hata kama itaingiliana na msimu ujao na kucheza mechi zilizobaki karibu karibu ili kumaliza haraka
 
1584270493537.png

  • Kwa maelezo haya less than 6 percent ndio ugonjwa unaweza kusababisha kifo
  • Zaidi ya 84% ya walioambukizwa wanapona na kuendelea na maisha
  • Muhimu ni kuchukua tahadhari na hatua mapema kabisa
 
Why Spain, Italy, Germany and France hakuna hizi kauli za kufutwa Ligi zao Bali ni Uengereza tu ndiyo wanapambania Ligi ifutwe?

Kama shida ni Liverpool kuongoza Ligi kwanini Vilabu vyote visishirikiane kupiga kura ya kufutwa Club ya Liverpool tu ili Ligi iendelee bila ya kuathiri Vilabu vyengine kama Leeds United ambayo inategemea kucheza Premier League next season? Coz Leeds huenda nafasi ya kupanda mwaka huu asiipate tena!

Ivi angelikuwa anaongoza Mume wenu Manure Vilabu vyenu Vingeng'ang'ania Ligi ifutwe?
Hahahaha eti Mume wao 😂😂😂😂😂😂.....

Relax kaka keyboard worriers at thier best will throw all kind of options mpaka basi....

YNWA
 
1584270493537.png

  • Kwa maelezo haya less than 6 percent ndio ugonjwa unaweza kusababisha kifo
  • Zaidi ya 84% ya walioambukizwa wanapona na kuendelea na maisha
  • Muhimu ni kuchukua tahadhari na hatua mapema kabisa
Upo sahihi ndugu tahadhari ndio njia pekee Kwa sasa...

Uingereza flu season inaisha March hivyo serikali wapo very positive huu ugonjwa pengine uta subdue by end this month... Japo hii ni kamali maana Italy were caught hands down na huu mlipuko..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom