Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....
Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...
Angalau we won't finish empty this season..
YNWA
na hili ndio tatizo la msingi ambalo watu hawataki kuliongelea! tatizo la msingi la liver ni ushambuliaji kwa siku za karibuni!Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....
Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...
Angalau we won't finish empty this season..
YNWA
Kuna concerns huwa nazigusia sana hapa ambazo ukurudia posts zangu za game baada ya Watford utaziona nyingi tu.
Lakini huwa hazieleweki na zinaonekana zinaleta utata kwasababu ninawagusa 'untouchable' wa Liverpool.
Moja ya msimamo wangu Mkubwa ni kwamba Front 3 yetu imekuwa ya kawaida tofauti na last 3 seasons, Sio ile ambayo ilikuwa inatisha Barani Ulaya bila ya kujali kwenye Midfield kuna nani!
Na nikasema kwasasa Front 3 yetu ni Nzuri sana lakini ni Overrated.
Na ninapoongelea usajili wa Wachezaji bora basi zinatiririka posts za kuwa Liverpool haipaswi kusajili Wachezaji bora coz hawatataka kuwa backups za Front 3.
Na hapa tunatolewa mifano ya Wachezaji wa kusajili ambao wana uhakika wakija Liverpool watakuwa Benchwarmers kama vile Adams, Cantwell na Madisson.
Lakini ukitaja mchezaji Calibre ya Werner utaambiwa hauwezi mfumo wa Klopp.
Nikajiuliza kwani kwani mchezaji yeyote bora atakayesajiliwa Liverpool hatoweza kuanza ahead of Front 3 yetu? Are they unique kiasi ya kwamba no one is better than them?
Nikapata Suluhisho:
Watu hawataki tusajili Wachezaji bora kwasababu hawatakubali kukaa bench, Bali Watu hawataki tusajili Wachezaji bora ambao Watatishia namba za kina Mane, Salah na Firmino.
Kuku tushamla, ligi ya spain itabakia kuwa bora...Na Uingereza wazee wa mabavu wataendelea kuwa maarufu..hi ndio tofauti yake 🙂🙂
Jogoo kala kichapojukwaa limepoa sioni mazungumzo kwa lugha adhimu ya kiingereza, sioni chambuzi kama zamani,
kuna msiba humu?
Umeongea ukweli mtupu, hao wanaosema wachezaji wakisajiliwa Liverpool hawataweza mfumo wa Klopp ni wageni kwa huyo kocha, wakumbuke kuwa alipokuwa Borusia Dotmund mbele alikuwa na Lewandowski kushoto Aubameyang upande wa kulia Mario Gotze, Kuna baadhi ya mashabiki wametoka vijijini ndanindani na walipofika mjini wakaanza kujifanya wanajua kuliko waliowakutaKuna concerns huwa nazigusia sana hapa ambazo ukurudia posts zangu za game baada ya Watford utaziona nyingi tu.
Lakini huwa hazieleweki na zinaonekana zinaleta utata kwasababu ninawagusa 'untouchable' wa Liverpool.
Moja ya msimamo wangu Mkubwa ni kwamba Front 3 yetu imekuwa ya kawaida tofauti na last 3 seasons, Sio ile ambayo ilikuwa inatisha Barani Ulaya bila ya kujali kwenye Midfield kuna nani!
Na nikasema kwasasa Front 3 yetu ni Nzuri sana lakini ni Overrated.
Na ninapoongelea usajili wa Wachezaji bora basi zinatiririka posts za kuwa Liverpool haipaswi kusajili Wachezaji bora coz hawatataka kuwa backups za Front 3.
Na hapa tunatolewa mifano ya Wachezaji wa kusajili ambao wana uhakika wakija Liverpool watakuwa Benchwarmers kama vile Adams, Cantwell na Madisson.
Lakini ukitaja mchezaji Calibre ya Werner utaambiwa hauwezi mfumo wa Klopp.
Nikajiuliza kwani kwani mchezaji yeyote bora atakayesajiliwa Liverpool hatoweza kuanza ahead of Front 3 yetu? Are they unique kiasi ya kwamba no one is better than them?
Nikapata Suluhisho:
Watu hawataki tusajili Wachezaji bora kwasababu hawatakubali kukaa bench, Bali Watu hawataki tusajili Wachezaji bora ambao Watatishia namba za kina Mane, Salah na Firmino.
Ongea lugha ya kimpira ueleweke,maneno ya khanga na lugha za uswahilini achana nazo.
mimi kwa upande wangu namuona Adrian ndio tatizo licha ya liver kukosa magoli mengi ....balaa alilianzisha yeye kutoa boko na kusababisha goli muda ambao hata wapinzani walikua tayari wameshakubali kushindwa..baada ya kupata lile goli A.M walipata morale, walipata matumaini..huku wachezaji wa liver wakikata tamaa ya kushinda..mimi nina imani kama Alison.B angekuwepo liver angeshinda ile game.kwaio technically kosa sio la Adrian.....? ndio maana nawashangaa sana watu wanaomuona adrian ndio tatizo!
tatizo letu currently ni timu nzima, sio mabeki wala sio front 3
unaumwa wewe yaani Coronavirus ikuache hivihivi unabeba epl!!!!Tushukuru hata kwa kidogo tunachopata...
Kuna club hata uefa ya mwakan hawataiona wakati huo sisi tuna uhakika na epl tunachukua why tuanze kualalmika kama wengine hawahitaji hayo makombe..
Tukishinda kila game yatakuwa sio mashindano, na hatuwez kuwa bora kila sehemu, adrian kazngua ndio lkn ili ufungwe lazma ufanye makosa,
Tumekuwa wazuri siku za hv karibuni tunasahau tulikotoka.. em tuacheni kujipa maumivu yasio ya lazma,
Nikiangalia hali ya man u, na club kama arsenal, mimi liverpool nikilaum nitakuwa nakufuru..
Mashabiki wengne lazm wa ongee haijalishi tuko vzur zaidi yao ama vp... na huu ndio mpira
TWENDENI TUKACHUKUE EPL WANANGU
Sent using Jamii Forums mobile app
wameanzaDamn you King Ngwaba Hahaha Adrian Karius Hahahahaha.....
Poor him that was his best man boy stud got stuck in the mud haha thought its rained everywhere ama upande wetu tu ndio ulikua na mvua...
Cheap vs most valuable keeper in the world the result speak volumes...
Our front three are somehow losing the scoring instincts... 35 shots on target and only two goals,... Alet had 6 shots on target and 3 goals... When we point to Adrian failure to the 1st goal let's also see the big picture its a high time Klopp brought in a real number 9 guys this game has laid the way forward in June transfers..
Now we go again hope he won't be vulnerable as jana vs Anceloti come Monday...
Congrats to the boys it's been thriving two seasons of UCL we say thanks in real.. Losing ain't the of the world.. We have been here and will come back again stronger..
YNWA
ndio njia yao ya kukimbiza watu humu, pindi Muddy akishawatoa mafi... wanaambizana wanywe gongo waanze ukoloni
Hata ile gemu ya barca pale anfield tulishinda nne lkn Alison alitubeba sana goli moja tu najua tungepoteana nami naunga mkono gemu ya Jana Adrian ndo kazingua.mimi kwa upande wangu namuona Adrian ndio tatizo licha ya liver kukosa magoli mengi ....balaa alilianzisha yeye kutoa boko na kusababisha goli muda ambao hata wapinzani walikua tayari wameshakubali kushindwa..baada ya kupata lile goli A.M walipata morale, walipata matumaini..huku wachezaji wa liver wakikata tamaa ya kushinda..mimi nina imani kama Alison.B angekuwepo liver angeshinda ile game.
hovyoooooHata ile gemu ya barca pale anfield tulishinda nne lkn Alison alitubeba sana goli moja tu najua tungepoteana nami naunga mkono gemu ya Jana Adrian ndo kazingua.