Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....

Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...

Angalau we won't finish empty this season..

YNWA

Kuna concerns huwa nazigusia sana hapa ambazo ukurudia posts zangu za game baada ya Watford utaziona nyingi tu.

Lakini huwa hazieleweki na zinaonekana zinaleta utata kwasababu ninawagusa 'untouchable' wa Liverpool.

Moja ya msimamo wangu Mkubwa ni kwamba Front 3 yetu imekuwa ya kawaida tofauti na last 3 seasons, Sio ile ambayo ilikuwa inatisha Barani Ulaya bila ya kujali kwenye Midfield kuna nani!
Na nikasema kwasasa Front 3 yetu ni Nzuri sana lakini ni Overrated.

Na ninapoongelea usajili wa Wachezaji bora basi zinatiririka posts za kuwa Liverpool haipaswi kusajili Wachezaji bora coz hawatataka kuwa backups za Front 3.
Na hapa tunatolewa mifano ya Wachezaji wa kusajili ambao wana uhakika wakija Liverpool watakuwa Benchwarmers kama vile Adams, Cantwell na Madisson.
Lakini ukitaja mchezaji Calibre ya Werner utaambiwa hauwezi mfumo wa Klopp.

Nikajiuliza kwani kwani mchezaji yeyote bora atakayesajiliwa Liverpool hatoweza kuanza ahead of Front 3 yetu? Are they unique kiasi ya kwamba no one is better than them?

Nikapata Suluhisho:
Watu hawataki tusajili Wachezaji bora kwasababu hawatakubali kukaa bench, Bali Watu hawataki tusajili Wachezaji bora ambao Watatishia namba za kina Mane, Salah na Firmino.
 
Kabisa ndugu 35 shots on target na kupata goli mbili ni tatizo aisee....

Anyway let's wrap and get the most sort trophy by the Reds for the past few decades...

Angalau we won't finish empty this season..

YNWA
na hili ndio tatizo la msingi ambalo watu hawataki kuliongelea! tatizo la msingi la liver ni ushambuliaji kwa siku za karibuni!

haiwezekani mshindwe kushinda ndani ya dk 90, then uje uanze kumlaumu kipa wakati hawajaruhusu goli (ndani ya dk 90)!.......

anyway, atletico kwetu wamekua wagumu sana, hata msimu wa mwisho wa RB tulitolewa nusu fainali ya europa na hawahawa kwa mtindo wa 1-0 away, kisha home tukashinda 1-0.... extra time forlan akawapa away goal!
 

Mkuu Ngwaba pole sana..
 
Kuku tushamla, ligi ya spain itabakia kuwa bora...Na Uingereza wazee wa mabavu wataendelea kuwa maarufu..hi ndio tofauti yake 🙂🙂

Hivi Real Madrid inacheza Ligi ya Wapi?
Man City inacheza Ligi ya Wapi?

Nyinyi Laliga Fanboys kwanini akili zenu zipo Kikoronakorona?

Yani munaibuka kwa baadhi ya Matukio na kupotea kwa baadhi ya Matukio.
 
Umeongea ukweli mtupu, hao wanaosema wachezaji wakisajiliwa Liverpool hawataweza mfumo wa Klopp ni wageni kwa huyo kocha, wakumbuke kuwa alipokuwa Borusia Dotmund mbele alikuwa na Lewandowski kushoto Aubameyang upande wa kulia Mario Gotze, Kuna baadhi ya mashabiki wametoka vijijini ndanindani na walipofika mjini wakaanza kujifanya wanajua kuliko waliowakuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwaio technically kosa sio la Adrian.....? ndio maana nawashangaa sana watu wanaomuona adrian ndio tatizo!


tatizo letu currently ni timu nzima, sio mabeki wala sio front 3
mimi kwa upande wangu namuona Adrian ndio tatizo licha ya liver kukosa magoli mengi ....balaa alilianzisha yeye kutoa boko na kusababisha goli muda ambao hata wapinzani walikua tayari wameshakubali kushindwa..baada ya kupata lile goli A.M walipata morale, walipata matumaini..huku wachezaji wa liver wakikata tamaa ya kushinda..mimi nina imani kama Alison.B angekuwepo liver angeshinda ile game.
 
unaumwa wewe yaani Coronavirus ikuache hivihivi unabeba epl!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wameanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ile gemu ya barca pale anfield tulishinda nne lkn Alison alitubeba sana goli moja tu najua tungepoteana nami naunga mkono gemu ya Jana Adrian ndo kazingua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…