Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uzuri wa ushindi wenu bhana hautakuwa wa shamra shamra kama inavyotakiwa iwe kwasababu mmejua mapema kwamba mmeshachukua

Ni kama vile umeishi miaka nenda rudi na mwanamke weeeeeeeee halafu eti mnakuja kufanya harusi....hakuna jipya
Kwani watu hawali tenere hiyo siku?
 
Henderson hiyo mechi hatakiwu kuanza ila awepo Tu kwenye benchi kuna Hali flani(mzuka) itaongezeka Kwa wenzake wataoanza hasa kutokana na hii ya kuonekana bila yeye tumefanya vibaya...mfano kuna mechi Uruguay ilicheza na ...,(sikumbuki) Suarez hakuwa fit ila akawepo Tu nje anapasha misuli mpaka mechi ikaisha ila iliyofuata alianza Vs England na akatupia mbili..Kwa tuliocheza kidogo chandimu tunaelewa ile Hali ya mchezaji flani tegemeo akiwepo siku hiyo baada ya kutukuwepo kitaa mda mrefu inavyokuwa...

USHAURI HATA HENDERSON AKIWA FIT SIKU HIYO ASIANZE KWANZA PRESHA ITAKUWA KUBWA SANA NA ATABORONGA AINGIE SUB..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kikubwa ushindi ni siku ya kutumia silaha zote muhimu ata akiingia sub uzuri awe fiti tu....na usishangae akianza pia maana dimba la Kati tumeliona kipindi Cha game mbili tatu tulivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20200308-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marcelo Alberto Bielsa Caldera huyu mzee namwelewa sana... He is the godfather of modern football man.. This time naona akiwapandisha Leeds EPL wanaongoza ligi Kwa pointi 71... Wameshinda mechi 5 mfululizo na sasa wanaamini ni EPL super candidate...

Kupanda kwao kutazidi kunogesha EPL huku nikiamini kocha Marcelo atabaki nao...




YNWA
 
Hope za Aguero na KDB nitaziona vizuri tu na leo
Hivi Manchester City akipigwa Leo, aafu Arsenal nao wampige, aafu ajitoe mhanga Kop Sean Dyche nae ampige ina maana tutatangazwa mabingwa bila kuwa tumeingia uwanjani tena... Meaning Foxes nao wazidi kupoteza..

Hahaha if wishes were horses.........

YNWA
 
Marcelo Alberto Bielsa Caldera huyu mzee namwelewa sana... He is the godfather of modern football man.. This time naona akiwapandisha Leeds EPL wanaongoza ligi Kwa pointi 71... Wameshinda mechi 5 mfululizo na sasa wanaamini ni EPL super candidate...

Kupanda kwao kutazidi kunogesha EPL huku nikiamini kocha Marcelo atabaki nao...




YNWA
Yes ..sema kubaki nayo labda wampandishie dau ..nasikia anagombaniwa na vilabu vya ligi kuu italy na Spain hatari....
Mi nawamiss Leeds utd maana nikiwaona wananikumbusha nilipokuwa dogo Sanaa game EPL wanaonesha DTV mwenyewe sebuleni nashuhudia tunapigwa goli 4 -3 na goli zote zikitupiwa na the one and only Mark Viduka anatoka uwanjani jezi namba 9 (Kama sijakosea imechafuka chafuka mpaka namba imepinda)...Leeds yakina Alan Smith ,dacourt ,woodgate na lee bawyer ..
Daaah kitambo nilikuwa napenda kufuatilia karibia game zote EPL maisha haya yanatukaba.
All in all waje tu tuletewe burudani zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu matokeo yatoke tofauti na mategemeo yao upole utahamia kwako maana utakosa wa kumcheka

Manchester is red
Leo utakuwa mpole kweli yani vipigo kote kote

Huku Ndala anatafunwa na Mnyama
Kule Manchester is blue
 
James Milner’s motivational speech to the lads yesterday during the warm-up:

”it’s about those reactions. As soon as we lose it, there’s body’s around it and then we play out of that area. Everything we do, highest tempo today. It doesn’t matter who scores, if we score, if they score - we lift it again. Every kick off is a trigger for us.”

YNWA
_-20200308-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom